Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Hapana...
Mungu hana madaraja....
Haaaaaa haaaaaa haaaaaa , naona Mungu anawekewa madaraja then soon atawekewa "makaravati"
Hapana...
Mungu hana madaraja....
Wabongo tukiisha karirishwa inakuwaga ni shida tupu......haka ka msemo ka Nchi ya Viwanda hadi kanaleta kichefu chefu unataka kuniambia hata huko kwenye nchi zenye viwanda hakuna watu wana matatizo ya kifamilia kisa ni nchi za viwanda?Kila siku hayo hayo hivyo viwanda vitajengeka kwel
Kama ni wakiume kweli ni suala lA kisaikolojia zaidi...Mdgo ako akiwa kama kitinda mimba na wakiume unconscious amebeba taswira ya Baba mbele ya mama...Msamehe mama bure hata ingekuwa kinyume chake kabaki Baba we ungekuwa taswira ya mama kwa Mzee wako.....hii inaanzia tangia umri wa utotoni wanasaikolojia wanaita Oedipus Complex....Katika kipindi cha Msiba kulia kule ni mama kadhihilisha kilicho ndani yake Kwa mwanae......sasa namna ya kushinda hiyo sababu ni Mzazi Mungu wako mwingine Kama umeolewa Mme wako anaweza play part hyo au Mjukuu akiwa wa kiume......Msamehe Bure na hiyo ni psychological treatment kubwa sanaWa kiume
Atachimbiwa na mitaro,dini nyingine unaambiwa mume ni mkuu sana,ni BWANA kabisa...ndio maana wanasema acheni Mungu aitwe Mungu.Haaaaaa haaaaaa haaaaaa , naona Mungu anawekewa madaraja then soon atawekewa "makaravati"
Wabongo tukiisha karirishwa inakuwaga ni shida tupu......haka ka msemo ka Nchi ya Viwanda hadi kanaleta kichefu chefu unataka kuniambia hata huko kwenye nchi zenye viwanda hakuna watu wana matatizo ya kifamilia kisa ni nchi za viwanda?
Kujenga viwanda kuna husiana vipi na matatizo yake ya familia?
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app

Ahsante sanaPole sana yaache yapite kama mengine acha kufikiria jaribu kufikiria mazuri alio wahi kukutendea hata kama lipo moja tu msamehe songa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli hata Mimi nimemshangaaWabongo tukiisha karirishwa inakuwaga ni shida tupu......haka ka msemo ka Nchi ya Viwanda hadi kanaleta kichefu chefu unataka kuniambia hata huko kwenye nchi zenye viwanda hakuna watu wana matatizo ya kifamilia kisa ni nchi za viwanda?
Kujenga viwanda kuna husiana vipi na matatizo yake ya familia?
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Nitauzingatia sana labda inatokana na hayo mambo uliyoyaainisha hapo juuKama ni wakiume kweli ni suala lA kisaikolojia zaidi...Mdgo ako akiwa kama kitinda mimba na wakiume unconscious amebeba taswira ya Baba mbele ya mama...Msamehe mama bure hata ingekuwa kinyume chake kabaki Baba we ungekuwa taswira ya mama kwa Mzee wako.....hii inaanzia tangia umri wa utotoni wanasaikolojia wanaita Oedipus Complex....Katika kipindi cha Msiba kulia kule ni mama kadhihilisha kilicho ndani yake Kwa mwanae......sasa namna ya kushinda hiyo sababu ni Mzazi Mungu wako mwingine Kama umeolewa Mme wako anaweza play part hyo au Mjukuu akiwa wa kiume......Msamehe Bure na hiyo ni psychological treatment kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani nduguNajiulizaga kwa nini mzazi ampende huyu kuliko yule zaidi wakati wote ni watoto wake,cha ajabu utakuta baba na mama wamejigawia watoto Wa kuwapenda..huyu baba hampendi na huyu mama hampendi hua nachanganyikiwa kwa kwel.ili tatizo nimeliona kwingi sijui tatizo ni nn.
Pole sana ndugu ndio dunia yetu ilivyo,piga moyo konde acha maisha yasonge,pia kumbuka kusamehe.
Najiulizaga kwa nini mzazi ampende huyu kuliko yule zaidi wakati wote ni watoto wake,cha ajabu utakuta baba na mama wamejigawia watoto Wa kuwapenda..huyu baba hampendi na huyu mama hampendi hua nachanganyikiwa kwa kwel.ili tatizo nimeliona kwingi sijui tatizo ni nn.
Pole sana ndugu ndio dunia yetu ilivyo,piga moyo konde acha maisha yasonge,pia kumbuka kusamehe.
Duu Mama yako kavuka mipaka sana lakini samehe...songa mbele huyo ndiyo Mama yako.Habari zenu jamani
Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.
Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana hilo halikuwa linanisumbua niliona kawaida sana pia hiyo ilitokana na mahusiano ya mpenzi niliekuwa nae mama hakumpenda sana jambo hilo lilifanya Mimi na mama yangu tusiwe na maelewano.
Kitu kilichokuja kuniumiza na nimuone mama tofauti ni siku mdogo wangu alipofariki mama alikuwa akilia wa nguvu na huku akilitaja jina la mdogo wangu na Mimi.......nanukuu( BORA USINGEONDOKA WW KIPENZI CHANGU ANGEONDOKA DADA YAKO (yani mimi)INGEKUWA AFADHARI.
Maneno hayo halikuwa akiyarudia kuanzia mwanzo wa msiba mpaka anazikwa jambo hili liliwashangaza wengi na liliniumiza sana mpaka Leo nikikumbuka Yale roho inaniuma sana nashindwa hata kumuangalia mama yangu naishia kulia.
Pengine nimemkosea mama yangu sana lkn sikutegemea kama anaweza kuombea Mimi kufa imeniumiza sana.
Amekuja leo na baadh ya ndugu akiomba msamaha sijasema chochote nimeishia kulia.nataman niende mbali kwasababu nimejua Mimi si chochote kwake.
Mwenye ushauri au mawazo yoyote kisaikolojia siko sawa.
wewe na we kapimwe mkojowatu wengine sijui mkoje! ulichoandika ni upumbavu mtupu! na unakeraa, kama ni kweli alikuomba msamaha halafu wewe ukajifanya eti umeumia sana kwa yaliopita, jua mama sio kama mwalimu" mtafute muombe msamaha mama yako! ningekuwa ndo mjomba wako ningekupiga marufuku kufika kwangu mpaka mamaako akuridhie. eti HILI JAMBO LIMENIUMIZA SANA! mangapi we uliomuumiza mamaako!? kama una akili weka mabaya ya mamaako aliokufanyia na mazuri aliokufanyia kwenye mizani sahihi, yapi yanazidi! kitendo cha mamaako kukuomba msamaha haitakiwi uendelee kumsikiliza bali ni kumzuia na badala yake wewe ndo umuombe msamaha yeye! baraka zinkufuata ulipo unazipiga teke!?
Pole sana kwa hili.Habari zenu jamani
Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.
Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana hilo halikuwa linanisumbua niliona kawaida sana pia hiyo ilitokana na mahusiano ya mpenzi niliekuwa nae mama hakumpenda sana jambo hilo lilifanya Mimi na mama yangu tusiwe na maelewano.
Kitu kilichokuja kuniumiza na nimuone mama tofauti ni siku mdogo wangu alipofariki mama alikuwa akilia wa nguvu na huku akilitaja jina la mdogo wangu na Mimi.......nanukuu( BORA USINGEONDOKA WW KIPENZI CHANGU ANGEONDOKA DADA YAKO (yani mimi)INGEKUWA AFADHARI.
Maneno hayo halikuwa akiyarudia kuanzia mwanzo wa msiba mpaka anazikwa jambo hili liliwashangaza wengi na liliniumiza sana mpaka Leo nikikumbuka Yale roho inaniuma sana nashindwa hata kumuangalia mama yangu naishia kulia.
Pengine nimemkosea mama yangu sana lkn sikutegemea kama anaweza kuombea Mimi kufa imeniumiza sana.
Amekuja leo na baadh ya ndugu akiomba msamaha sijasema chochote nimeishia kulia.nataman niende mbali kwasababu nimejua Mimi si chochote kwake.
Mwenye ushauri au mawazo yoyote kisaikolojia siko sawa.