Hili jambo limeniumiza sana

Hili jambo limeniumiza sana

Pole, msamehe mama! Hiyo username yako ungebadilisha, unajiita manunguniko maisha yako yatakuwa hivyo hivyo. Jipende wewe mwenyewe kwanza, maneno huumba!
 
Mama ni Mungu wa Pili katika dunia hii. Hakuna kitu kibaya kama kumchukia Mama. Unachopaswa kufahamu kuwa hakuna mwanadanu aliyekamilika. Hivyo uambie moyo wako kuwa huyu ni mama yangu na vyovyote itakavyokuwa atabaki kuwa mama yangu. The rest mwachie Mungu. Hata kama utaamua kumchukia haitasaidia. Nakusihi mlipe kwa wema hadi ajue kama wewe unampenda hata kama yeye hakupendi. Ukifanya hivyo Mungu ipo siku atakufanyia wepesi katika mambo yako na familia yako kwa ujumla.

Wahenga walisema: mpe mchawi akulelee mwanao...

Joseverest samahani kwa kuchukua kiti chako.
Tofautisha kati ya kuheshimu na kupenda.

Amri inasema "waheshimu baba na mama yako......." haijasema wapende!

Mama akijuchukia usijipendekeze, mpe nafasi aitumikie chuki yake kwa raha zake. Maana kuchukia ndio furaha yake.

Ukiendelea kuwepo karibu yake atakuambukiza chuki.
 
Habari zenu jamani


Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.

Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana hilo halikuwa linanisumbua niliona kawaida sana pia hiyo ilitokana na mahusiano ya mpenzi niliekuwa nae mama hakumpenda sana jambo hilo lilifanya Mimi na mama yangu tusiwe na maelewano.
Kitu kilichokuja kuniumiza na nimuone mama tofauti ni siku mdogo wangu alipofariki mama alikuwa akilia wa nguvu na huku akilitaja jina la mdogo wangu na Mimi.......nanukuu( BORA USINGEONDOKA WW KIPENZI CHANGU ANGEONDOKA DADA YAKO (yani mimi)INGEKUWA AFADHARI.
Maneno hayo halikuwa akiyarudia kuanzia mwanzo wa msiba mpaka anazikwa jambo hili liliwashangaza wengi na liliniumiza sana mpaka Leo nikikumbuka Yale roho inaniuma sana nashindwa hata kumuangalia mama yangu naishia kulia.
Pengine nimemkosea mama yangu sana lkn sikutegemea kama anaweza kuombea Mimi kufa imeniumiza sana.
Amekuja leo na baadh ya ndugu akiomba msamaha sijasema chochote nimeishia kulia.nataman niende mbali kwasababu nimejua Mimi si chochote kwake.





Mwenye ushauri au mawazo yoyote kisaikolojia siko sawa.
Sio ww tu hayo yapo sana ,hata mm iko shida kama hiyo imefikia hata watoto wangu kwenda kwa jibu yao hapana kwa yale waliyoyapata,unaweza kuwa na mapenzi au upendo mkubwa kwa mama ako lkn kumbe yeye yuko mbali na ww kabisa ukiitafuta sababu wala huipati na hiyo sababu ya mpenzi wako inaweza kuwa wala c sababu ila hayo huwepo tu ikifikia mama kutoa machozi na kuomba hayo bora yangekutokea ww,kuwa makini sana huwa kuna roho ya ajabu ya chuki vitabu viko wazi kuna maagano hapo au kulikuwa na aina furani ya urafiki kati ya mama na mwana ambayo mwezio aliyaona na kisha kuyatunza hata ww hukuyajua kwa hiyo alipendwa kwa usiri huo lkn yawezekana mama yako aliiona akili yako haiendani na yale mwenzio aliyapokea.mpende mama yako lkn kuwa makini sana na mama yako kikubwa ni kumuombea sana ili huyo pepo mchafu atoke yangu ni hayo,hapo kwa wengi sana Dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa pia nikijiuliza swali hili pia pengine si mama yangu lakini tokea utoto wangu yupo nami nakufanana tumefanana saaana

Baadhi ya wazazi huwa na tabia yakuchagua watoto wala usiogope.

Mimi mama yangu alikuwa hivyo tena zaidi ya huyo wako ila alikuwa ananituma kazi zote namka saa kumi na mbili asubuhi nafudi saa moja kutoka shamba kwa siku ambazo siendi shule. Hili lilinifundisha kazi zote.

Cha kushangaza shuleni huko nlikuwa napendwa sana kuwa najituma na tabia njema home mama anasema ni 'bure kabisa' ila sasa mimi ndo nimefanikiwa kiuchumi&kielimu kuliko wote (labda wajitahidi baadae) Niliwajengea nyumba nzuri 3 rooms store, jiko lakini hakuna aliyewahi kusema asante mwanangu. Sasa hivi anatamani sijui anionyeshe upendo gani kuyafuta hayo ila haiwezekani maana pamoja na yote niliwapenda wazazi wangu nilimsaidia kusomesha watoto 2 secondary na sikai miezi 2 sijawatumia mazagazaga kiukweli hili linamfanya ajutie sana.

Nimeamua kushare this personal issue ili urelax wala usijali huwa hawajielewi baadae wanajuta sana.
 
Mama ni mama mkuu wengne hatujamwona mama since tupo vichanga mshukuru Mungu kwa kila jambo na msamehe mama yako kwani atabaki kuwa mama yako tu no way... Ningekua nae hata wa hvo ningefrah sana R.I.P ma lovely Mom...[HASHTAG]#Deis[/HASHTAG]
 
Mama ni Mungu wa Pili katika dunia hii. Hakuna kitu kibaya kama kumchukia Mama. Unachopaswa kufahamu kuwa hakuna mwanadanu aliyekamilika. Hivyo uambie moyo wako kuwa huyu ni mama yangu na vyovyote itakavyokuwa atabaki kuwa mama yangu. The rest mwachie Mungu. Hata kama utaamua kumchukia haitasaidia. Nakusihi mlipe kwa wema hadi ajue kama wewe unampenda hata kama yeye hakupendi. Ukifanya hivyo Mungu ipo siku atakufanyia wepesi katika mambo yako na familia yako kwa ujumla.

Wahenga walisema: mpe mchawi akulelee mwanao...

Joseverest samahani kwa kuchukua kiti chako.
Usidanganye watu tena unatenda zambi kubwa sana,nani alikudanganya ya kwamba mama ni MUNGU wa pili?au ktk dunia ipi hiyo,na wengi mmekuwa mnajidanganya hivyo,na tuumbe mtu kwa mfano wetu,akamuumba Adam lkn kwa upweke wa Adam akamletea msaidizi akamtia usingizi mzito Adam na kisha akamtoa ubavu mmoja akapatikana Hawa (EVA)yule mwanamke uliyeniletea ndiye aliye nipe tunda nikala (usaliti)utazaa kwa uchungu (mwanzo wa azabu)hapo kuna mwanamke anaitwa delira lkn pia kuna yerzeber sjui kama unawafaham na matendo yao,je huo umungu wa pili unatoka wp ?Lkn hakuna watu wenye mambo makubwa na ya ajabu kama hao ni ma zetu yatupasa kuwapenda sana lkn pia yatupasa kuwa makini sana na hawa viumbe nia ovu ikiwa kinywani kwa mama ni hatari kwa uzao wake lkn he fuatilia kwa makini sana mama hutengeneza fitina Kati yake na mme wake na watoto haswa wa ki ume hutekwa na fitina hiyo hata kumchukia baba yao na baba hatima yake huwa mbaya sana uzeeni hata husababisha mauti ya haraka, kidogo watoto wa kike huwa msaada kwa baba yao kikubwa toa ushauri tu lkn usimpeleke kwenye u mungu wa pili utalaaniwa, isimfananishe kabisa na MUNGU kwa kuwa hana sifa hizo hata selus moja na kama hujui chanzo cha zambi zote ni mwanamke,hata kifo aliyesababisha kianze kutokea ni mwanamke plz lekebisha maelezo yako usije unatenda zambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofautisha kati ya kuheshimu na kupenda.

Amri inasema "waheshimu baba na mama yako......." haijasema wapende!

Mama akijuchukia usijipendekeze, mpe nafasi aitumikie chuki yake kwa raha zake. Maana kuchukia ndio furaha yake.

Ukiendelea kuwepo karibu yake atakuambukiza chuki.
Waheshimuni wazazi wenu "katika bwana"
 
Habari zenu jamani


Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.

Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana hilo halikuwa linanisumbua niliona kawaida sana pia hiyo ilitokana na mahusiano ya mpenzi niliekuwa nae mama hakumpenda sana jambo hilo lilifanya Mimi na mama yangu tusiwe na maelewano.
Kitu kilichokuja kuniumiza na nimuone mama tofauti ni siku mdogo wangu alipofariki mama alikuwa akilia wa nguvu na huku akilitaja jina la mdogo wangu na Mimi.......nanukuu( BORA USINGEONDOKA WW KIPENZI CHANGU ANGEONDOKA DADA YAKO (yani mimi)INGEKUWA AFADHARI.
Maneno hayo halikuwa akiyarudia kuanzia mwanzo wa msiba mpaka anazikwa jambo hili liliwashangaza wengi na liliniumiza sana mpaka Leo nikikumbuka Yale roho inaniuma sana nashindwa hata kumuangalia mama yangu naishia kulia.
Pengine nimemkosea mama yangu sana lkn sikutegemea kama anaweza kuombea Mimi kufa imeniumiza sana.
Amekuja leo na baadh ya ndugu akiomba msamaha sijasema chochote nimeishia kulia.nataman niende mbali kwasababu nimejua Mimi si chochote kwake.





Mwenye ushauri au mawazo yoyote kisaikolojia siko sawa.
Pole sana kumbuka kua huyo ni Mama na kama amekuja kuomba msamaha niwajibu wako kumsamehe,sisemi rahisi ila Mama daraja lake ni kubwa sanaaa, kufiwa sio kitu kidogo na labda utakuja kumuelewa utakapo kua Mama.
tafuta mda kaa nae chini huyo ni mzazi wako muombe msamaha hata kama kosa hulijui na muombe akueleze kama kuna kosa ulifanya uenda umelifanya bila kujua ili usije ukalirudia tena, mimi wakati mamangu anaumwa sanaaa na nampenda sanaa mama yangu nilimwambia Mama kama Nakupenda sana na kama mwenyezi mungu angeweza kunipa nafasi basi ningemtoa mtoto wangu ukabaki wewe na kumbuka hapo nilikua na mtoto mmoja tuu.
rudi kwa mzazi wako pepo yako iko kwake na furaha yako pia iko kwake hata kama mkorofi au vyovyote atakavyo kua still ndio mama mwenyezi mungu alie kupa,futa machozi nenda kaonge nae ukiweza lia usibane kilio chako toa joto lako la rohoni mweleze mama unajisikiyaje na vipi unapenda muishi sababu mmebakia nyie tuu wawili na Inshallah mwenyezi mungu atakulinda na kuwaweka salama kwa amani na Upendo.
 
Wazazi wanatuumiza sana,nakidonda chao huchoma katikati ya moyo,usipokua MTU wakusamehe nakuachilia unaweza usitamani kumuona wala kuwasiliana nae,mungu akutie nguvu na ujasili
Jitahidi kila unaposkia uchungu,piga goti muombe mungu akusaidie kuachilia na kusamehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu jamani


Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.

Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana hilo halikuwa linanisumbua niliona kawaida sana pia hiyo ilitokana na mahusiano ya mpenzi niliekuwa nae mama hakumpenda sana jambo hilo lilifanya Mimi na mama yangu tusiwe na maelewano.
Kitu kilichokuja kuniumiza na nimuone mama tofauti ni siku mdogo wangu alipofariki mama alikuwa akilia wa nguvu na huku akilitaja jina la mdogo wangu na Mimi.......nanukuu( BORA USINGEONDOKA WW KIPENZI CHANGU ANGEONDOKA DADA YAKO (yani mimi)INGEKUWA AFADHARI.
Maneno hayo halikuwa akiyarudia kuanzia mwanzo wa msiba mpaka anazikwa jambo hili liliwashangaza wengi na liliniumiza sana mpaka Leo nikikumbuka Yale roho inaniuma sana nashindwa hata kumuangalia mama yangu naishia kulia.
Pengine nimemkosea mama yangu sana lkn sikutegemea kama anaweza kuombea Mimi kufa imeniumiza sana.
Amekuja leo na baadh ya ndugu akiomba msamaha sijasema chochote nimeishia kulia.nataman niende mbali kwasababu nimejua Mimi si chochote kwake.





Mwenye ushauri au mawazo yoyote kisaikolojia siko sawa.
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu jamani


Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.

Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana hilo halikuwa linanisumbua niliona kawaida sana pia hiyo ilitokana na mahusiano ya mpenzi niliekuwa nae mama hakumpenda sana jambo hilo lilifanya Mimi na mama yangu tusiwe na maelewano.
Kitu kilichokuja kuniumiza na nimuone mama tofauti ni siku mdogo wangu alipofariki mama alikuwa akilia wa nguvu na huku akilitaja jina la mdogo wangu na Mimi.......nanukuu( BORA USINGEONDOKA WW KIPENZI CHANGU ANGEONDOKA DADA YAKO (yani mimi)INGEKUWA AFADHARI.
Maneno hayo halikuwa akiyarudia kuanzia mwanzo wa msiba mpaka anazikwa jambo hili liliwashangaza wengi na liliniumiza sana mpaka Leo nikikumbuka Yale roho inaniuma sana nashindwa hata kumuangalia mama yangu naishia kulia.
Pengine nimemkosea mama yangu sana lkn sikutegemea kama anaweza kuombea Mimi kufa imeniumiza sana.
Amekuja leo na baadh ya ndugu akiomba msamaha sijasema chochote nimeishia kulia.nataman niende mbali kwasababu nimejua Mimi si chochote kwake.





Mwenye ushauri au mawazo yoyote kisaikolojia siko sawa.


Msamehe tu kwa sababu ni mama yako, na atabakia kuwa mama yako. Mkasa wa kwako ni miongoni mwa mikasa amabayo imewapata watu wengi, pengine mikubwa kuyliko wa kwako. Songa mbele na maisha yako, mheshimu, akiwa na shida msaidie, na unapomsaidia usimsimange kwa kukumbushia maneno aliyokuwa akiyatamka msibani.... Mungu ndiye atamhukumu
 
Labda Ana wivu kwako uwez jua,.. Manake wanawake unaweza ata kumtupa mtoto chooni kisa umeachana na baba ake,..
Mi sina cha kukushauri, zaidi ya kukuambia kua na subra na mama yako,... Hakuna kama Mama,
 
Back
Top Bottom