Hili jambo je??

Feb 29, 2012
54
17
Born 15.8.1990

nimeajiriwa na serikali, mshahara wangu ni zaidi ya $800..nataka kufungua biashara ambayo ni simple but very smart ambayo haita niboa na kunikera wala kunichosha...nimewaza na kutafakari kua biashara ya muziki itaendana na mimi..nimetafakari kwakina outcomes na binafsi nimejiridhisha, je! INALIPAA?? maana nilifungua grocery nikazitundika bia zote..msaada wajameni!!
 
Born 15.8.1990

nimeajiriwa na serikali, mshahara wangu ni zaidi ya $800..nataka kufungua biashara ambayo ni simple but very smart ambayo haita niboa na kunikera wala kunichosha...nimewaza na kutafakari kua biashara ya muziki itaendana na mimi..nimetafakari kwakina outcomes na binafsi nimejiridhisha, je! INALIPAA?? maana nilifungua grocery nikazitundika bia zote..msaada wajameni!!
hapo ktk black unataka tukuhisi kuwa unatafuta sugar mamy/dady!!?:photo:
 
Back
Top Bottom