Najuta Kukufahamu
Member
- Feb 29, 2012
- 54
- 17
Born 15.8.1990
nimeajiriwa na serikali, mshahara wangu ni zaidi ya $800..nataka kufungua biashara ambayo ni simple but very smart ambayo haita niboa na kunikera wala kunichosha...nimewaza na kutafakari kua biashara ya muziki itaendana na mimi..nimetafakari kwakina outcomes na binafsi nimejiridhisha, je! INALIPAA?? maana nilifungua grocery nikazitundika bia zote..msaada wajameni!!
nimeajiriwa na serikali, mshahara wangu ni zaidi ya $800..nataka kufungua biashara ambayo ni simple but very smart ambayo haita niboa na kunikera wala kunichosha...nimewaza na kutafakari kua biashara ya muziki itaendana na mimi..nimetafakari kwakina outcomes na binafsi nimejiridhisha, je! INALIPAA?? maana nilifungua grocery nikazitundika bia zote..msaada wajameni!!