Hili halisemwi na Ikulu

Jakaya kapoteza muda wake bila kutegemea, kazi ya Urais ni jukumu kubwa sana kwake.

Tuoneshe mmoja kati ya waliopita aliyefanya zaidi ya Kikwete chochote kile ukipendacho, tukimaliza tutaenda kingine, anza na kimoja tu.

This is a challenge.
 

KWA TUHUMA KAMA HII YERICKO ALILIGARAGAZA HATA JESHI LA POLICE , KWAHIYO MAKELELE YA MTU MDOGO SANA TENA SANA KAMA MWANADIWANI YASIKUTIE SHAKA , hAINA UKWELI WOWOTE .
 
Last edited by a moderator:
mkuu jason bourne habari za siku bhana , tumemiss sana vitu vyako vya uhakika ,usitoweke sana mkuu .
 

Hosea mwenyewe yupo busy kutafuta personal assistances wa kuwatafuna...
 
Kama ni kweli kuwa uongozi wa jf uliomba huo ushahidi na Wewe bado unauomba basi huo ulikuwa ni uwendawazimu wa hali ya juu.
Jf ndiyo walipaswa wawe na ushahidi wa kutosha usiokuwa na shaka kuziunganisha hizo ID mbili.
 
haka kajamaa kaongo sana kalikuwa kanahesabu safari za raisi kikwete na aliandika makala ya uchochezi kuwa ridhiwani alikamatwa na madawa ya kulevya china
mimi huwa na mpuuza tu

Wewe naona unaupungufu wa kifaa cha kufikiri na kutambua mambo kilichopo ndani ya kichwa chako, hivi hili sakata la Riz 1 kukamatwa na sembe China kama ingekuwa ni uongo imekuwaje hadi Baba yake amelikana hili mwezi 7 2014 na sio kipindi kile tena lingekanwa nadani ya nchi na sio nje kama alivyofanya.
 
sawa, je mabadiliko hayo yataleta tija....?
 

Kwanza kwa nini rais anakwenda kuzungumzia mambo ya madawa ya kulevya nje ya nchi? Haka kaChikweteNIKaraisKaogaSanaKanaogopaWauzaUngaSababuKanajuaKanahusika.
 
MNaOBISHa KUWA JK HAKUBANWA NA WAKUBWA HUKO SOMENI BARAZANI KWA AHMED RAJABU KATiKA GAZETI LA RAIA MWEMA LA WIKI JANA.ANAZUNGUMZA HAYAHAYA.KWA WALE WASIOMFAHAMU NI KWAMBA YEYE NI MWANDISHI WA HABARI MKONGWE WA KIMATAIFA
 
Finika kombe mwana haramu apite....


"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
 

Mkuu vipi updates za safari za JK? Huduma yako inahitajika sana!
 
Na Kikwete anarudi Washington DC Septemba 18 kuwaambia mabwana zake kuwa ameshatimiza maagizo waliyompa.
 
Hata kama JB awe ndio YN hakutufanyi sisi kuoanisha si tu kuondolewa kwa Feleshi bado pia na Vizingiti vingine juu ya mapambano ya rushwa kwa MARA MOJA tena iwe punde baada ya rais kutoka USA.
Wenye akili zao wanashawishika kuamini mantiki ya JB bila kujua JB ndio nani hasa.
 
"Kudhibiti"sha na "kuthibiti"sha ni vitu viwili tofauti, hakikisha ni neno lipi ulitaka kulitumia hapo kisha urudi tena.

Kiswahili ni lugha yako ya taifa, kienzi.

Chagua neno lililo sahihi...kisha jenga hoja kuhusu post yangu.
 
Tanzania inaongozwa remotely na Washington
 
Jengo likiungua ni ufisadi umeunguzwa Faiza! Majengo yote yanayoungua hata huko uswekeni nayo ni ufisadi! Yale yanayoungua huko Ulaya na kwingineko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…