skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,385
elfu kumi akili ilikuwa kwenye km nikachapia...ila usimwambie mtu!
Hahahhaaaaa...raha sana
elfu kumi akili ilikuwa kwenye km nikachapia...ila usimwambie mtu!
picha ya watu wakali walioguswaPicha ya nini?
picha ya watu wakali walioguswa
Hata BMW wana comfotability ya kutosha. Yani german cars karibu ya zote zipo safi kwenye comfotability
hata Beatle?
Hayo magari ni mazuri sana, tatizo spares zake ghali na hakuna mafundi wengi Tanzania wayajuwayo, mafundi wengi wa magari hata spana za kufungulia hayo magari hawana (zinahitaji spana mahsusi), mpaka upeleke sehemu maalum na hapa kwetu ni chache sana na ghali sana.
Talking from experience.
niambie Horseshoe Arch.....Sikamooo!
Talking from BAD experience......nakuelewa sana wamiliki wengi wa hayo magari wanaumizwa sana kwa kukosa information. Mafundi wazuri wapo ila sio kwenye zile main dealerships, expensive for nothing.
Mkuu hivi ni kweli BMW na BENZI ukiendesha mwendo mdogo chini 100km zinakula sana mafuta ??
6km per litre kaka, i am talking from expirience
Ukishaanza kufikiria mafuta kwenye kununua gari ujue wewe hustahili kuwa na gari,unajipendekeza tu tukuone na wewe una gari.kabla hujaanza kulalamika ni bora hiyo hela yako ukafuge kuku.
Ukishaanza kufikiria mafuta kwenye kununua gari ujue wewe hustahili kuwa na gari,unajipendekeza tu tukuone na wewe una gari.kabla hujaanza kulalamika ni bora hiyo hela yako ukafuge kuku.
Hii ni comment ya hovyo kuliko zote kuhusu magari! Kwahio wanaostahili kununua gari huwa wanakwenda tu dukani na kununua bila kujua linatumia mafuta vipi au aina gani?! Basi watengenezaji wadingesumbuka na kupoteza hela nyingi kwenye tafiti kuhakikisha magari yanatumia mafuta kidogo kuliko ilivyo sasa! Hata wakina Warren Buffet wansangalia gari gani wanunue itakuwa sisi!
Mkuu sasa unafkiri hayo magari yenye cc kubwa wanatengenezewa wakina nani??...cc kubwa inamaanisha kuwa engine ni kubwa na ina more power kuliko yenye cc ndogo,sasa kabla hujaanza kulalamika kuhusu gari linakula mafuta jiulize unataka Power,Uzuri wa gari,au unataka mafuta kidogo.kila gari linatengenezwa kwa watu maalum sasa wewe ukivamia ndio unaishia kulalamika tu. Nissan V8 ya 2013, ina 5.6-Litre V8 Petrol Engine na watu wananunua bila kulalamika.