Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,062
- 3,620
Post kama hizi sie watumiaji wa Baiskeli Avon Na Phoenix tukae mbali kabisa. Hapa nawaza medigadi yangu inarusha tope wacha kesho niifanyie service.
Hayo magari ya ulaya ukiangalia mafuta tu hutakaa muda mrefu litakushinda na utakumbuka Vits yako! Kuna issues zaidi ya mafuta.
Mkuu madigadi yapi bora original au ya mtumba? Maana hatamimi na hitaji.Post kama hizi sie watumiaji wa Baiskeli Avon Na Phoenix tukae mbali kabisa. Hapa nawaza medigadi yangu inarusha tope wacha kesho niifanyie service.
Mkuu madigadi yapi bora original au ya mtumba? Maana hatamimi na hitaji.
Post kama hizi sie watumiaji wa Baiskeli Avon Na Phoenix tukae mbali kabisa. Hapa nawaza medigadi yangu inarusha tope wacha kesho niifanyie service.
Kwa Magari ya Toyota kuna Prius hybrid inayotembea mpaka km 28 kwa Lita moja na Harrier hybrid inayotembea km 20 kwa Lita na hii ina Cc 3,000
Wapo kwa sababu Mzee wangu anayo harrier hybrid na ana mafundi wake wanaomrekebishia ikisumbua, huwa anasafiria safari za mbali tu
Inaweza kuwa inatumia mafuta kama Vits ila ikipeleka service unaacha 500,000/- au ukipasua taa 1.5m..si ushawahi kusikia BI-XENON head lamps?! Ukinunua gari inabidi uzingatie vigezo vingi sio kimoja tu kama mafuta.
Post kama hizi sie watumiaji wa Baiskeli Avon Na Phoenix tukae mbali kabisa. Hapa nawaza medigadi yangu inarusha tope wacha kesho niifanyie service.
Gari yangu iko na hiyo kitu, kumbe ni mkasi?? We mayooo sinunui tena aisee!!
vp kuhusu izo electric motor kwny magari je inaweza kua istalled kwny magari ambayo mwanzo hayakua nazo?
Nimepark gomalangu nasubiri hadi j pili, the rest days natumia boxa yangu. Hakiya nani na enjoy mbaka bas, sina habari na traffic crowd popote. Niki jaza kabixa full tank hadi nasahau it's more than three weeks. Tatizo mvua ikinyesha kama niko road inabidi nitafute hifadhi somewhere.
Ha haaaa, nyie mnalia na vigari vya CC 2500? Je sisi wenye ma Range Rover ya cc 4600 alafu engine ya Petrol tusemeje?
Post kama hizi sie watumiaji wa Baiskeli Avon Na Phoenix tukae mbali kabisa. Hapa nawaza medigadi yangu inarusha tope wacha kesho niifanyie service.