La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 629
- 1,150
nyama pendwa
Hiki ndio kimenifanya nishindwe kufugaKuna mfugaji mmoja wa hao kitimoto aliniambia huwa anajisikia vibaya kuwachinja nguruwe wake, maana huwa ana waamrisha na wanasikiliza na wengine amewapa majina hivyo akiwaita au kuwapa amri hufuata, akanambia ni wanyama wana akili.
Hivyo huwa anaona kuwachinja ni kuwakatili, hivyo huwauza wazima.
Nakumbuka utotoni nilikuwa nikiwachanganyia pili pili kwenye chakula. Wanatema, wengine hawali kabisa.Kivipi
Kwanini nchi jirani wanamuita rais wao kasongo😄
Sure na hapo ndipo nimeelewa wafugaji wengi hawapendi kuchinja mifugo yao, kuna hisia flani huingilia kati tokana na kuzoeana na wanyama katika maisha ya kila siku.Hiki ndio kimenifanya nishindwe kufuga
Nilikuwa nawafinya masikio nikiwaogesha😆Ulichuma dhambi nyingi sana😂
Nilikuwa nawachanganyia kwa siri kwenye chukula mbwa wetu ugoro au bangi ili wawe wakali.. Siku moja mmoja ngoma ikakubali akatukazia jioni hakuna mtu kutoka nje ya geti ama kuingia kwa waliokuwa njeNilikuwa nawafinya masikio nikiwaogesha😆
Sema wana akili kama mbwa wanazoea watu.
Labda hiyo nyama yake niigawe sitaweza kula🥲 Nitaumia sanaSure na hapo ndipo nimeelewa wafugaji wengi hawapendi kuchinja mifugo yao, kuna hisia flani huingilia kati tokana na kuzoeana na wanyama katika maisha ya kila siku.
Unakuta baadhi ya wafugaji kuchinja mfugo wake, ukute mnyama kaugua sana ana karibia kufa.
Unachosema ndicho kile kile yule mfugaji aliambia, akanambia hata sasa amekuwa si mpenzi tena wa kitimoto...Labda hiyo nyama yake niigawe sitaweza kula🥲 Nitaumia sana
Kuna hisia za ukaribu halafu macho yanaongea ndio maana Wazaramo wana usemi wao usemao KUMKOMA NYANI GILADI Yaani ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni maana utapata hurumaUnachosema ndicho kile kile yule mfugaji aliambia, akanambia hata sasa amekuwa si mpenzi tena wa kitimoto...
Ni jambo la ajabu sana..