kuna rafiki yangu ameniomba ushauri juu ya hiki kisa cha ukweli : yeye umeowa miaka mitano iliyopita na wamejariwa kupata mtoto mmoja mwaka jana alienda kikazi manyara kama mwaka mmoja hivi kwa kipindi chote hicho akawa mbali na wife katika hali asiyoitarajia baada ya kuridi mwezi wa kumi na moja alianza kuona nyendo za mkewe siyo nzuri mpaka siku moja akapata ushaidi siyo wakuona moja kwa moja ila wakimazingira na baada ya kumuhoji mkewe alikili kosa kuwa ndiyo anauhusiano na bossi wake tena bila haya usoni jambo lile lilimuuma sana rafiki yangu anachoomba ni je amuache au afanye nini maana bossi ndiyo wako wote kazini mimi mpaka time hii sijapata chakumshauri na wasilisha kwenu tumsaidie