Mawazo ya kutoka kimaisha kwa mtaji mdogo

Showmax

JF-Expert Member
Nov 18, 2022
6,594
12,577
1. Nunua pikipiki ya dhamana ukaanza biashara ya boda boda.
2. Fungua saluni.
3. Mradi wa tofali za kuchoma.
3. Fuga kuku.
4. Somea ujuzi wowote.
5. Mradi wa kushona nguo.
6. kijiwe cha kuchomelea.
7. Kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum.
8. Mgahawa mdogo.
9. Kijjwe cha kahawa.
10. Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, n.k.
11. Mashine ya kukata nyasi, kupalilia.
12. Kuuza mbuzi, kuku.
13. Biashara ya mazao.
14. Kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu.
15. Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash.
16. Kutengeneza unga wa lishe.
17. Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa.
18. Jiko la supu.
19. Kutengeneza mkaa mbadala.
20. Kuuza chips.
21. Kukaanga kuku.
22. Kutengeneza vitafunio.
23. Kuzalisha ethanol.
24. Kufuga poko mbuzi katoliki.
25. Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji.
26. Kufungua vijiwe vya kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini.
27. Kuuza juice.
28. Kuuza juice ya miwa.
29. Kijiwe cha kukaanga samaki jioni.
30. Shughuli za upambaji kumbi.
31. Kusambaza bidhaa majumbani.
32. Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini, yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.
33. Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk.
34. Kufungua tuition center.
35. Kufungua grocery.
36. Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani.
37. Kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma, oil chafu na tairi chakavu.
38. Kufungua genge la kuuza basic home need.
39. Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.
40. Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi.
41. Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, n.k.
42. Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake.
43. Jengea vyumba vitatu wazazi wako, nyumba ya bati upate baraka.
44. Nunua shamba.
45. Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji, au nunua mbuzi anza kufuga.
46. Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira.
47. Duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga.
48. Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane.
49. Duka la spea za pikipiki na baiskeli.
50. Duka la dawa na vipodozi.
51. Ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini.
52. Ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa.
53. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda.
54. Ufugaji nyuki na kuuza asali.
55. Kuzalisha unga wa muhogo.
56. Direct sale, yaani door to door delivery. Hapa unakuwa na torori na speaker unapita kila nyumba unauza bidhaa na kuchukua oda ya nini wanataka ili kesho uwaletee.
57. Utengenezaji pellets chakula cha mifugo, samaki.
58. Unga wa lishe.
59. Mikeka.
60. Bidhaa za mianzi.
61. Utengenezaji wine.
62. Usafi wa majumbani.
63. Kuuza uji wa ulezi, mchele
64. Utengenezaji mbolea za mboji na za maji.
65. Utengenezaji wa vigae vya cement na vya udongo.
66. Kupanda miti kwa ajili ya nguzo na mirunda.
67. Utengenezaji wa ndala.
68. Utengenezaji viatu.
69. Upondaji kokoto.
70. Ufundi simu na radio.
71. Utengenezaji mifagio.
72. Utengenezaji crips za mihogo, ndizi, viazi, nk.
73. Utengenezaji tambi, ubuyu.
74. Panda mlonge, nyonyo, mibono au muarobaini ili uje uuze mafuta au utengeneze sabuni.
75. Kutengeneza siagi ya karanga.
76. Home delivery, hapa ni kupita kila nyumba na kuchukua oda za mahitaji yao then unaenda kununua unawaletea.
77. Utengezaji wa vifungashio vya karatasi.
78. Utengenezaji mitungi, vyungu, majiko ya udongo.
79. Kuwatengeneza kucha wadada.
 
Namba 43,duuh!! Michongo ni mingi sana,halafu mingine wala haihitaji mitaji mikubwa kiivo kawaida tu! Tatizo tunalalamika sana lkn we dont dare!! Me binafsi nimejilipua kulima nyanya na kufuga ma pig! January najilipua kufuga samaki na kuku! tutafika tu daadeki
 
Aisee umemaliza kila kitu mpaka umenigusa hapo kwenye genge la kuuza pombe za kienyeji

Ila kuna vingine umevitaja vinahitaji mtaji mkubwa kama duka la spea za pikipik
Yeah lkn mtaji wa spea za toyo hata milioni 5 unaweza ukaanza nayo,na usifungue mjini,nenda bush na hakikisha unaweka na madogo mafundi hata wawili hapo! Nakuhakikishia baada ya mwaka unakuwa mtu mwingine kabisaa!! Nimeshuhudia hili kwa mwanangu,na nitaingia huko hakika
 
Namba 43,duuh!! Michongo ni mingi sana,halafu mingine wala haihitaji mitaji mikubwa kiivo kawaida tu! Tatizo tunalalamika sana lkn we dont dare!! Me binafsi nimejilipua kulima nyanya na kufuga ma pig! January najilipua kufuga samaki na kuku! tutafika tu daadeki
Una eneo la kutosha ndugu
 
Namba 46 nilijaribu ni biashara nzuri sana ila nilihama eneo la tukio nikawaachia ndugu wasimamie wakaauwa biashara mpaka sasa hivi ving'amuzi na TV vipo nimehifadhi nyumbani na banda sijalivunja ila ni biashara nzuri haina stress.
 
1. Nunua pikipiki ya dhamana ukaanza biashara ya boda boda.
2. Fungua saluni.
3. Mradi wa tofali za kuchoma.
3. Fuga kuku.
4. Somea ujuzi wowote.
5. Mradi wa kushona nguo.
6. kijiwe cha kuchomelea.
7. Kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum.
8. Mgahawa mdogo.
9. Kijjwe cha kahawa.
10. Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, n.k.
11. Mashine ya kukata nyasi, kupalilia.
12. Kuuza mbuzi, kuku.
13. Biashara ya mazao.
14. Kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu.
15. Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash.
16. Kutengeneza unga wa lishe.
17. Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa.
18. Jiko la supu.
19. Kutengeneza mkaa mbadala.
20. Kuuza chips.
21. Kukaanga kuku.
22. Kutengeneza vitafunio.
23. Kuzalisha ethanol.
24. Kufuga poko mbuzi katoliki.
25. Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji.
26. Kufungua vijiwe vya kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini.
27. Kuuza juice.
28. Kuuza juice ya miwa.
29. Kijiwe cha kukaanga samaki jioni.
30. Shughuli za upambaji kumbi.
31. Kusambaza bidhaa majumbani.
32. Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini, yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.
33. Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk.
34. Kufungua tuition center.
35. Kufungua grocery.
36. Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani.
37. Kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma, oil chafu na tairi chakavu.
38. Kufungua genge la kuuza basic home need.
39. Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.
40. Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi.
41. Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, n.k.
42. Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake.
43. Jengea vyumba vitatu wazazi wako, nyumba ya bati upate baraka.
44. Nunua shamba.
45. Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji, au nunua mbuzi anza kufuga.
46. Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira.
47. Duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga.
48. Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane.
49. Duka la spea za pikipiki na baiskeli.
50. Duka la dawa na vipodozi.
51. Ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini.
52. Ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa.
53. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda.
54. Ufugaji nyuki na kuuza asali.
55. Kuzalisha unga wa muhogo.
56. Direct sale, yaani door to door delivery. Hapa unakuwa na torori na speaker unapita kila nyumba unauza bidhaa na kuchukua oda ya nini wanataka ili kesho uwaletee.
57. Utengenezaji pellets chakula cha mifugo, samaki.
58. Unga wa lishe.
59. Mikeka.
60. Bidhaa za mianzi.
61. Utengenezaji wine.
62. Usafi wa majumbani.
63. Kuuza uji wa ulezi, mchele
64. Utengenezaji mbolea za mboji na za maji.
65. Utengenezaji wa vigae vya cement na vya udongo.
66. Kupanda miti kwa ajili ya nguzo na mirunda.
67. Utengenezaji wa ndala.
68. Utengenezaji viatu.
69. Upondaji kokoto.
70. Ufundi simu na radio.
71. Utengenezaji mifagio.
72. Utengenezaji crips za mihogo, ndizi, viazi, nk.
73. Utengenezaji tambi, ubuyu.
74. Panda mlonge, nyonyo, mibono au muarobaini ili uje uuze mafuta au utengeneze sabuni.
75. Kutengeneza siagi ya karanga.
76. Home delivery, hapa ni kupita kila nyumba na kuchukua oda za mahitaji yao then unaenda kununua unawaletea.
77. Utengezaji wa vifungashio vya karatasi.
78. Utengenezaji mitungi, vyungu, majiko ya udongo.
79. Kuwatengeneza kucha wadada.
Namba 15 ndo nipo nayo mda huu hela ya vocha na matumizi madogo madogo inapatikana hata kodi ikipungua tunafidi kupitia hiyo mishe it's a good business mimi sipendi biashara zenye stress mda huo haujafika kwangu bado.
 
Nyanya unalima hata eneo dogo nyumbani kwako hata eneo la chumba kimoja tu tena kwenye mk na zipo mbegu unachuma hadi mwaka mzima, kisha tengeneza tomatoes source, utapata pesa zaidi ya aliyelima heka 10 kwa kuuza tomatoes source.
unaamini tomato sauce zilizopo madukani ni nyanya halisi
 
Back
Top Bottom