chiefsongea
Member
- Nov 12, 2018
- 35
- 31
Ulikuwa vizur Sana lkn je ulisoma shule gan?Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
tutanunua kutoka nje kwani mpaka sasa tunanunua kutoka njeHii akili ya ajabu. Bila hao wenye elimu hizo mixer na amplifier anazotumia diamond zingetoka wapi
Sasa huko nje wanazitengeza kina nanitutanunua kutoka nje kwani mpaka sasa tunanunua kutoka nje
Utakuwa unaniona kwenye post zangu zingineTuwekee na cheti kinaitwa Bank Statement
Hii ni generalization mie Huwa nashindwa kuielewa.Tanzania tupo milioni kama hamsini hivi.Hii generalization ingekuwa na uhalisia Basi watanzania wengi wangekuwa na maisha mazuri.Maana majority ya watanzania akili zetu za kuunga unga.Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.
Kama wenye akili za kawaida darasani wangekuwa na maisha mazuri Tanzania isingekuwa maskini hiviNaomba nikujibu,
Wale hawana kujudge vitu Sana na hawazoom,pia huwez kupewa vyote maisha ni bahati
Watu wenye mtazamo huo wanafikra potofu. Hata MO dewji amekuza mara dufu biashara ya baba yake baada ya kutoka shuleHii ni generalization mie Huwa nashindwa kuielewa.Tanzania tupo milioni kama hamsini hivi.Hii generalization ingekuwa na uhalisia Basi watanzania wengi wangekuwa na maisha mazuri.Maana majority ya watanzania akili zetu za kuunga unga.
Utanunuaje nje Kwa nani wakati umeshasema watu wawe wajinga wasisome?tutanunua kutoka nje kwani mpaka sasa tunanunua kutoka nje
Nimecheka sana.Tuwekee na cheti kinaitwa Bank Statement
Elimu hainaga mbadala.Mali Bila Daftari huisha Bila habariWatu wenye mtazamo huo wanafikra potofu. Hata MO dewji amekuza mara dufu biashara ya baba yake baada ya kutoka shule
Gari sio issue bro...ni nyenzo tu ya usafiri....alafu there is no point to lie....kama nadanganya...basi najidanganya mwenyewe...Jf Kila Mtu ana gari
Hao wenye A waliyokuwa wanapata hku mtaani tunawaburuza...
Any way Hongera kwa kupiga As
Ova
Mie nimeongea tu maana kuna sehemu mtu kasema ana gari kadhaa Sasa sijajua anamaanisha niniGari sio issue bro...ni nyenzo tu ya usafiri....
Ina maananisha nini hiyo B? au unanini hadi kuji-grade B?Maisha niko B,
Hii ni generalization mie Huwa nashindwa kuielewa.Tanzania tupo milioni kama hamsini hivi.Hii generalization ingekuwa na uhalisia Basi watanzania wengi wangekuwa na maisha mazuri.Maana majority ya watanzania akili zetu za kuunga unga.
Mkuu vyeti sio ishu! Mimi nina 1 ya 11 o level! Ila maisha bado niko C!Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Okey labda nikuulize swali Kwa namna nyingi maskini wengi ni watu wa Aina gani?Uzoefu upo mwingi tu hawa matajiri wengi wakubwa si wasomi .
Hebu fanya research utaniambia.