byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,066
- 951
bado test hazijaanza huko vyuon!?
kwenye kamusi mpya hakuna pambuchi ila kuna PAPUCHI kipochi manyoya
Na mwenye jibu angetupa ningeshukuru.
Ama ni misemo ya kule FB nini?
hahahahaha umeifungua ili usome nini?
hahahahaha umeifungua ili usome nini?
Heaven on earth, Usiogope kupinga maana ndivyo unavyo amini na yeye asiache kusema maana ndivyo anavyo amininaomba kupinga hapo.................
Jamani wazima?
Huwa mimi huwa nasikitika sana. Leo hii, nyimbo nyingi za Bongo flavor ukizisikiliza na kuzichambua utakuta mwishoni zinaelekea mmoja au mwingine "kulilia mbunye".
Mitaani utakuta maongezi mengi ya vijana ni mbunye tu! Mimi hapa ninaeandika ni naandika mbunye tu! Na wewe msomaji mwana JF umekimbilia hapa ili usome mbunye tu! Huko Sinza naskia watu wakienda lunch lazima wastue mbunye kabla ya kurudi ofsin!
Haijalishi mke au mme wa mtu kila mmoja anafikiria na kuongelea mbunye tu siyo ile ya mwenza! Jamani hiki kizazi gani?
kwenye kamusi mpya hakuna pambuchi ila kuna PAPUCHI kipochi manyoya
Jamani wazima?
Huwa mimi huwa nasikitika sana. Leo hii, nyimbo nyingi za Bongo flavor ukizisikiliza na kuzichambua utakuta mwishoni zinaelekea mmoja au mwingine "kulilia mbunye".
Mitaani utakuta maongezi mengi ya vijana ni mbunye tu! Mimi hapa ninaeandika ni naandika mbunye tu! Na wewe msomaji mwana JF umekimbilia hapa ili usome mbunye tu! Huko Sinza naskia watu wakienda lunch lazima wastue mbunye kabla ya kurudi ofsin!
Haijalishi mke au mme wa mtu kila mmoja anafikiria na kuongelea mbunye tu siyo ile ya mwenza! Jamani hiki kizazi gani?
Kha ha ha ha ha haaaaa!
Hivi ndiyo inamaanishwa hapa juu?
Mi nilishahisi vingine!
hahahahaha umeifungua ili usome nini?