Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Jamani wazima?
Huwa mimi huwa nasikitika sana. Leo hii, nyimbo nyingi za Bongo flavor ukizisikiliza na kuzichambua utakuta mwishoni zinaelekea mmoja au mwingine "kulilia mbunye".
Mitaani utakuta maongezi mengi ya vijana ni mbunye tu! Mimi hapa ninaeandika ni naandika mbunye tu! Na wewe msomaji mwana JF umekimbilia hapa ili usome mbunye tu! Huko Sinza naskia watu wakienda lunch lazima wastue mbunye kabla ya kurudi ofsin!
Haijalishi mke au mme wa mtu kila mmoja anafikiria na kuongelea mbunye tu siyo ile ya mwenza! Jamani hiki kizazi gani?
Huwa mimi huwa nasikitika sana. Leo hii, nyimbo nyingi za Bongo flavor ukizisikiliza na kuzichambua utakuta mwishoni zinaelekea mmoja au mwingine "kulilia mbunye".
Mitaani utakuta maongezi mengi ya vijana ni mbunye tu! Mimi hapa ninaeandika ni naandika mbunye tu! Na wewe msomaji mwana JF umekimbilia hapa ili usome mbunye tu! Huko Sinza naskia watu wakienda lunch lazima wastue mbunye kabla ya kurudi ofsin!
Haijalishi mke au mme wa mtu kila mmoja anafikiria na kuongelea mbunye tu siyo ile ya mwenza! Jamani hiki kizazi gani?