Bunge la uwakilishi wa wananchi lisinge kubali kupitisha sheria ya aina hii , matokeo ya kuto kuwa na maono na kuwa na wabunge wa hovyo haya ndio matunda yake hatuna wawakilishi maana ajenda Wanazo pitisha si za wananchi na haziwahusu wananchi
TULIA ACKSON MWANSASU wewe na bunge lako ni chanzo kikubwa cha kujeruhi hili taifa na raia wake na hii dhambi itakutafuna na wabunge wenzako maisha yako yote
Kwa sasa CCM haipo kwa ajili ya wananchi tena ,CCM si ya wananchi tena.
TULIA ACKSON MWANSASU wewe na bunge lako ni chanzo kikubwa cha kujeruhi hili taifa na raia wake na hii dhambi itakutafuna na wabunge wenzako maisha yako yote
Kwa sasa CCM haipo kwa ajili ya wananchi tena ,CCM si ya wananchi tena.