maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 2,076
- 4,711
Nipambane nipate hata AK ya mtumba ama hata beretaš hapo msumbijiYah the timing is not right, but tunakaribia
Nipambane nipate hata AK ya mtumba ama hata beretaš hapo msumbijiYah the timing is not right, but tunakaribia
Nyie mnaotumwa kuteka na kuua watu, mkumbuke wanaowatuma hawataishi milele, ipo siku mtalipa sawasawa ba matendo yenu.Silazima nisalimu Wana jamvi.
Katika Hali ya kushangaza na kustaajabisha, ni Jana Tu alitoa kauli kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.Leo Dereva wake kafa..NI kuna ujumbe umetumwa kwake ama Vipi?
Ni sawa, lakini bila baraka zake, jambo kubwa kama hilo haliwezi kufanyika likamyamaziwa.Pengine mama analaumiwa sana ila huenda machawa ndo wanaribu taswira kwa hatua
Fedhuli samia anakojolea tu nchi atakavyo, ngoja tuone.Hivi huyu mama ametujambia au vipi mbona tukitaka kufanya maamuzi tuna6,6. Kwamba mjambo wake niwa sayari nyingine au?? Aisee huyu mama kama ni kutujambia mayai viza yaka some aisee huo ni mjambio wa kidigree ..RIP dereva
Je raisi amekua kivuli kwamba kuna sauti zenye mamlaka zipo nyuma yake zenye kiamua lolote wakati wowote?Ni sawa, lakini bila baraka zake, jambo kubwa kama hilo haliwezi kufanyika likamyamaziwa.
'Baraka zake' huanza kupimwa pole pole na hao unaowaita machawa!
Wakiona wanayoyafanya bila kibali hayakaripiwi wala kuonywa na mamlaka yoyote basi wanaji-upgrade wapendavyo, maana wataona kuwa mkuu hana tena 'meno' kwao.
Kwa hiyo matatizo yote hayo ni baraka zake za moja kwa moja ama ni zake kwa njia ya mzunguko.
Ni hivyo kabisa yaani!Je raisi amekua kivuli kwamba kuna sauti zenye mamlaka zipo nyuma yake zenye kiamua lolote wakati wowote?
Huyoo anayesekuma kete kutokea pembeni ana uwezo kiasi gani embu tuone ripoti ya polisi inasema nini juu ya iliNi hivyo kabisa yaani!
Vinginevyo ni yeye anayebariki maovu yote hayo.
Huyo ndio kiongozi wao,anajua kila kituPengine mama analaumiwa sana ila huenda machawa ndo wanaribu taswira kwa hatua
Kwakweli tumepatikana. Nchi imeshikiliwa na muimbaji wa taarabu ni vurugu tupu.Kutuma salamu ndio kuchukua uhai wa mtu kirahisi hivi.
Hizi familia zetu za kiafrica ukishamuondoa ābread winnerā unaenda umiza watu wengi sana nyuma yake.
Somo la bure, hapa ni āogopa sana kukabidhi, madaraka makubwa kwa wapuuziā.
Surely hawa watu wangeweza kutimiza hazma yao ya kuiba na kuharibu nchi bila ya hizi senseless killings.
Kama una uwezo wa kuzuia mikutano kwa kutumia mamlaka yako vibaya. What do you aim to achieve kwa kuchukua maisha ya dereva zaidi ya ujinga tu.
So sad, ogopa sana watu wenye akili ndogo; kupewa mamlaka makubwa.
Vyombo vya usalama na ulinzi hii ilitakiwa risk analysis yao kabla ya kumpa Samia nchi.
Rrport ya polisi????....hamna kitu.Huyoo anayesekuma kete kutokea pembeni ana uwezo kiasi gani embu tuone ripoti ya polisi inasema nini juu ya ili
MimiIvi nani kafa wadau
SurešÆ hata yule msaidizi wa lissu walikuwa wanafikiaha ujumbe kwa lissu huko gerezaniSilazima nisalimu Wana jamvi.
Katika Hali ya kushangaza na kustaajabisha, ni Jana Tu alitoa kauli kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.Leo Dereva wake kafa..NI kuna ujumbe umetumwa kwake ama Vipi?
Kuna kundi kubwa la wahuni, experts wanamzunguka.Hivi huyu mama ametujambia au vipi mbona tukitaka kufanya maamuzi tuna6,6. Kwamba mjambo wake niwa sayari nyingine au?? Aisee huyu mama kama ni kutujambia mayai viza yaka some aisee huo ni mjambio wa kidigree ..RIP dereva
... sasa Muraa Weito mnataka kuzidisha tuchumvi jamaani, ... toka rini tena ng'wena imekuwa tena 'honey badger' jamaani?Hivi huyu mama ametujambia au vipi mbona tukitaka kufanya maamuzi tuna6,6. Kwamba mjambo wake niwa sayari nyingine au?? Aisee huyu mama kama ni kutujambia mayai viza yaka some aisee huo ni mjambio wa kidigree ..RIP dereva
Ali kibao Ali engage vita gani? Mbona aliuwawa. Watu waovu hawahitaji sababu ndio wakumalize.Dakika za maangamizi hizi, nilisha Sema kuna vita sio za kuengage nazo because bado muda haujafika watu wakabisha
... kama simu haikukutwa na marehemu chumbani basi aliyonayo itabidi aisaidie polisi! ... na kama ilikutwa chumbani basi ni kidhibiti kama vingine mpaka kazi yake itakapokwisha!Heche alianza kufuatiliwa kitambo sana...
Inawezekana wafuatioiaji hawakujua mizizi ya undugu kati ya Heche na dereva wake...
CDM watafute simu ya marehemu... Wanyonye mawasiliano yote ndipo waikabidhi Polisi.
Sidhani, wangetaka kumuua wangeweza tu sema nadhani ni ujumbe kuwa "watch out or else youre next". Na huyo sio mwingine ni katambi anataka kumuonyesha who's the boss.Huwa wanaanzia mbali kabla ya main tagert!
Kwanza wana mu weaken Target kwa kum eliminate mtu alie karibu nae!
Ili kusababisha panic mode ya tagert!!
Halafu then wakati tagert aki figure out afanye nini au nani amuamini tena kwa KAZI ya udereva ndio wanaenda kiulaini!!!
Hawataki kufanya kosa kama lile la Tundu Lisu,walimuacha dereva akiwa hai siku waliopanga kukamilisha mission dereva akamuokoa coz tuamini dereva alikua anapata information ya kila kitu ndio maana yeye na lisu hawakutoka kwenye Gari,
Sasa safari hii heche atakisa mtu muhimu wa siku nyingi anaetumiwa na unit ya usalama ambao wapo against na wasiojulikana!dereva mpya atakua mgeni wa mawasiliano ya Siri ndipo watatumia hiyo weakness kukamilisha mission yao!!
Nawaza na kuwazua wala sio mjuzi WA mambo haya!!!