Hiki kifo ni ujumbe kwa Heche?

Hiki kifo ni ujumbe kwa Heche?

Huwa wanaanzia mbali kabla ya main tagert!

Kwanza wana mu weaken Target kwa kum eliminate mtu alie karibu nae!

Ili kusababisha panic mode ya tagert!!

Halafu then wakati tagert aki figure out afanye nini au nani amuamini tena kwa KAZI ya udereva ndio wanaenda kiulaini!!!
Hawataki kufanya kosa kama lile la Tundu Lisu,walimuacha dereva akiwa hai siku waliopanga kukamilisha mission dereva akamuokoa coz tuamini dereva alikua anapata information ya kila kitu ndio maana yeye na lisu hawakutoka kwenye Gari,

Sasa safari hii heche atakisa mtu muhimu wa siku nyingi anaetumiwa na unit ya usalama ambao wapo against na wasiojulikana!dereva mpya atakua mgeni wa mawasiliano ya Siri ndipo watatumia hiyo weakness kukamilisha mission yao!!

Nawaza na kuwazua wala sio mjuzi WA mambo haya!!!
RESILIENT KATO karibu kwenye kilele cha maonyesho ya biashara 7/7
 
Ivi nchi ingekua vp hasa kama jaribio lingemkuta mlengwa mkuu?
Mlengwa mkuu analindwa na team against wasijulikana!!baada ya tagert mkuu kuwa sero alihitajika mtu jasiri ambaye angetumika ku destabilize this regime ndio huyu sasa!!

Lengo akinukishe ili wapate sababu zao za kuuondoa utawala uliopo wajuavyo wao!!

Sasa wameshajua kazi waliyo nayo ni kubwa coa analindwa na unit nyingine ndani ya mfumo!

Itabidi wa eliminate kwanza mpokea maelekezo wakati wa safari Ambae ni dereva,huyo mpya atakaekuja atakua mgeni wa KAZI ya awali ya kumlinda mhusika ndio iwe rahisi kwao!

Kama chadema wakikosea kuchagua dereva mpya then tayari!!
 
Mlengwa mkuu analindwa na team against wasijulikana!!baada ya tagert mkuu kuwa sero alihitajika mtu jasiri ambaye angetumika ku destabilize this regime ndio huyu sasa!!

Lengo akinukishe ili wapate sababu zao za kuuondoa utawala uliopo wajuavyo wao!!

Sasa wameshajua kazi waliyo nayo ni kubwa coa analindwa na unit nyingine ndani ya mfumo!

Itabidi wa eliminate kwanza mpokea maelekezo wakati wa safari Ambae ni dereva,huyo mpya atakaekuja atakua mgeni wa KAZI ya awali ya kumlinda mhusika ndio iwe rahisi kwao!

Kama chadema wakikosea kuchagua dereva mpya then tayari!!
Hali ya kisiasa itazidi kua mbaya sana
 
Hivi huyu mama ametujambia au vipi mbona tukitaka kufanya maamuzi tuna6,6. Kwamba mjambo wake niwa sayari nyingine au?? Aisee huyu mama kama ni kutujambia mayai viza yaka some aisee huo ni mjambio wa kidigree ..RIP dereva
Pengine mama analaumiwa sana ila huenda machawa ndo wanaribu taswira kwa hatua
 
Mkuu Kuna muda wa kustrke na muda wa kumlia timing adui.. Ukistrike majira mabaya unaumia
Upo Sahihi hata mimi sidhani kama huu ni muda muafaka! Ilitakiwa Watanganyika wapewe mafunzo alafu wapewe vyombo vya moto😂 Liwalo na Likawe kama hodi hatuigongi Ikulu Magogoni Tutakufa Kiume kama wanetu walivyotangulia Oct29!
 
RESILIENT KATO karibu kwenye kilele cha maonyesho ya biashara 7/7
Maandamano sio njia sahihi!mnatumika chambo kufanikisha malengo ya USA, European union, Israel nanwengineo waliopoteza rasilimali muhimu kwa waarabu,wachina na warusi ili kumlinda mwenyekiti!!

Sasa nyie ni sehemu ya desert mission (mission nchi kavu)ili kifanikisha operation PJLK tuamini ni .......!!tusubiri!!?
 
Upo Sahihi hata mimi sidhani kama huu ni muda muafaka! Ilitakiwa Watanganyika wapewe mafunzo alafu wapewe vyombo vya moto😂 Liwalo na Likawe kama hodi hatuigongi Ikulu Magogoni Tutakufa Kiume kama wanetu walivyotangulia Oct29!
img_1_1781505160190.jpg

Unataka yajirudie tena,
 
Upo Sahihi hata mimi sidhani kama huu ni muda muafaka! Ilitakiwa Watanganyika wapewe mafunzo alafu wapewe vyombo vya moto😂 Liwalo na Likawe kama hodi hatuigongi Ikulu Magogoni Tutakufa Kiume kama wanetu walivyotangulia Oct29!
Siungi mkono hoja 🤣
 
Maandamano sio njia sahihi!mnatumika chambo kufanikisha malengo ya USA, European union, Israel nanwengineo waliopoteza rasilimali muhimu kwa waarabu,wachina na warusi ili kumlinda mwenyekiti!!

Sasa nyie ni sehemu ya desert mission (mission nchi kavu)ili kifanikisha operation PJLK tuamini ni .......!!tusubiri!!?
📌
 
Silazima nisalimu Wana jamvi.

Katika Hali ya kushangaza na kustaajabisha, ni Jana Tu alitoa kauli kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.Leo Dereva wake kafa..NI kuna ujumbe umetumwa kwake ama Vipi?
Heche alianza kufuatiliwa kitambo sana...
Inawezekana wafuatioiaji hawakujua mizizi ya undugu kati ya Heche na dereva wake...

CDM watafute simu ya marehemu... Wanyonye mawasiliano yote ndipo waikabidhi Polisi.
 
Maandamano sio njia sahihi!mnatumika chambo kufanikisha malengo ya USA, European union, Israel nanwengineo waliopoteza rasilimali muhimu kwa waarabu,wachina na warusi ili kumlinda mwenyekiti!!

Sasa nyie ni sehemu ya desert mission (mission nchi kavu)ili kifanikisha operation PJLK tuamini ni .......!!tusubiri!!?
Wapi nimesema nakukaribisha kwasababu ya maandamano
Unanilisha maneno?

I have no plans to join the protest, and I'm not willing to be used by the people you mentioned either.

I was simply intrigued by your comment, so I reached out

If you're interested, maybe we can go shopping together.😅
 
Back
Top Bottom