Hiki chama ni cha kidini?

Yaani nisiwe na akili ajili ya kuuliza tu kama chadema ni chama cha kidini?
Mbona mnaweweseka hivyo? Jibuni swali ni chama cha kidini?
 
Zimekuwa mbili
 
Palikuwa na tume pale ya uchaguzi?
Walishindana na chama gani?
CHADEMA bado haijachukua Dola lakini Uchaguzi pekee ambao CHADEMA imefanya na kuusimamia ni ule wa ndani ya Chama na na ooh.. bwooy ulikuwa ni Uchaguzi HURU na HAKI na UWAZI sasa CHADEMA na sisi wananchi tunataka Tume ya Uchaguzi iwe Taasisi HURU ili iweze kusimamia Chaguzi zote bila ya kuingiliwa.
 
Ndio tunaenda huko step by step

Ccm ni chama makini
 
Tujikumbushe tumefikaje hapa mpaka tafadhali angalia hii clip fupi sana halafu tafakari👇
Your browser is not able to display this video.
 
Naunga mkono hoja
 

..chama sio cha kidini.

..hoja zake zinaungwa mkono, na kupingwa, na viongozi wa dini zote kuu Tanzania.

..wakati wa Jpm wako viongozi wa vyama, na wa dini kuu za hapa Tanzania, ambao walipinga ukandamizaji uliokuwa ukiendelea. Sio kweli kwamba watu wote waliufyata, wako waliopambana.
 
Asante kwa jibu zuri, bado nakusanya maoni
 
Naunga mkono hoja yako
 
Na ndio maana wakatoliki wanaunga mkono chadema?

..hata baadhi ya viongozi wa Bakwata wanaunga mkono hoja za Chadema.

..Ndio maana Katibu Mtendaji wa Bakwata, Alhaj Mruma, alisoma risala na kuiasa serikali kurekebisha kasoro zilizojitokeza ktk uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024.
 
Kinachozaa haki ni amani au kinachozaa amani ni haki

Kinachoondoa amani ni haki au kinachoondoa haki ni amani ?

Nchi gani ilipata Aman bila haki kuwepo katika nchi hiyo?

Familia gani ilipata amani bila haki kuwepo katika familia hiyo?

Ukweli unaijua Ila unaleta siasa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…