mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,491
- 2,985
- Thread starter
-
- #61
Yaani nisiwe na akili ajili ya kuuliza tu kama chadema ni chama cha kidini?Ndugu, lazima utakuwa na tatizo la akili. Kama ungekuwa na akili timamu lazima ungekujua kuwa hapa Tanzania hakuna chama kinachoungwa mkono au kukataliwa na dini moja.
Kuna wachungaji, manabii, maaskofu na kuna mashekhe pia wanaoimba wimbo wa CCM, 'tulinde amani' (ie hata kama hakuna haki). Kwa uchache, umesikia tamko la Malasusa na shekhe mkuu wa BAKWATA, wakiimba huo wimbo.
Lakini wapo viongozi wa dini, maaskofu, wachungaji, manabii, mashekhe, wanaungana na watanzania walio wengi kuwa huwezi kuongelea Amani, bila kuongrlea HAKI. Hawa wanaungana na wananchi wengi wenye akili timamu, wasio wanafiki, wanaoipenda nchi yao, wanaoona wazi kuwa mifumo yetu ya udhulumaji haki iliyotamalaki kwenye nchi hii, ni tishio kwa amani yetu, tukitaka amani ya kweli ni lazima tufanyie maboresho ya sheria na mifumo inayotengeneza mazingira ya kuwadhumuru wananchi. SHURA YA MAIMAMU, TEC, Maaskofu, wachungaji, manabii na mashekhe, mmoja mmoja wamesimama kwenye msingi huu.
Na hakika, yeyote ambaye hataki kurekebisha na kubora mifumo yetu ambayo ni ya kuwadhulumu wananchi mamalaka yao, ni mashetani na maibilisi wakubwa.
Nchi inataka haki, haitaki kuendelea na ushetani unaofurahiwa na tale maibilisi ya CCM.
Chadema ni chama cha kidini?Wapumbavu kwenye hii inchi mpo wengi sana kwakweli
CHADEMA bado haijachukua Dola lakini Uchaguzi pekee ambao CHADEMA imefanya na kuusimamia ni ule wa ndani ya Chama na na ooh.. bwooy ulikuwa ni Uchaguzi HURU na HAKI na UWAZI sasa CHADEMA na sisi wananchi tunataka Tume ya Uchaguzi iwe Taasisi HURU ili iweze kusimamia Chaguzi zote bila ya kuingiliwa.Palikuwa na tume pale ya uchaguzi?
Walishindana na chama gani?
Tokea lini?...kwaiyo na CCM ni chama cha kidini?Chadema ni chama cha kidini?
Ndio tunaenda huko step by stepCHADEMA bado haijachukua Dola lakini Uchaguzi pekee ambao CHADEMA imefanya na kuusimamia ni ule wa ndani ya Chama na na ooh.. bwooy ulikuwa ni Uchaguzi HURU na HAKI na UWAZI sasa CHADEMA na sisi wananchi tunataka Tume ya Uchaguzi iwe Taasisi HURU ili iweze kusimamia Chaguzi zote bila ya kuingiliwa.
InneNdiyo maana nimekushauri tuanze kwanza na Bakwata. Au unataka kusema kama Bakwata huikubali, hiyo dini nyingine ndiyo unaikubali?
Mimi nimeuliza tu ungeweza kusema ndio au hapana basiTokea lini?...kwaiyo na CCM ni chama cha kidini?
Naunga mkono hojaKwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?
Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,
Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin
Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Nitajibu baadhi ya hoja hapa japo upo inje ya mada yangu
Mada yangu ni swali je chama ni cha kidini au si cha kidini, ok turudi kwenye hoja yako
Ni kweli mabadiliko yanahitajika na ccm na serikali yake wanafanya hayo mabafiliko kila yanapohitajika kwa kadri ya haja ila ni hatua kwa hatua na mabadiliko ni mchakato, hayawezi kufanyika ghafka ni kdogo kidpgo na yanafanyika na tunaona,
Kuhusu vyama vingi ni likikuwa hitajio la lazima kwa kipindi kile so hata hata kama watanzania wote wangekataa au hata kama rais angekuwa ni shetani ilikua lazima mabadiliko yaje
Na hata sasa mabadiliko yatakuja tu ni suala la mdabtu
na ccm ni chama kimejichimbia sana so wapinzani wakiona njia ni kuingiza viongozi wa dini mwishowe ni kusababisha fujo kwani kila mmoja ana dini yake
Kuhusu mwalimu kusifu ushindani ule ni kwamba hata rais aliyewepo kipindi kile alikuwa muungwana na mwema akaridhika na kuendekea mbele na kushirikia na wapinzani
Taizo hili lilianzishwa na mwendazake kiasi cha kufungia hata siasa zisifanyike wakati wa uongizi wake na hakuna hata aliyeoaza sauti si vyama wala viongozi wa dini na maisha yaliendelea na harakati zilifanyika chini kwa chini na mpaka hapa tulipofika ni cvm imebadilisha mengi katika mabaya ya mwenzao aliyepita vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi
NB
Chama kile ni cha kidini au sio cha kidini?
Zamani lakini sasa kimekuwa chama cha Mapolisi.Ccm ni chama makini
Asante kwa jibu zuri, bado nakusanya maoni..chama sio cha kidini.
..hoja zake zinaungwa mkono, na kupingwa, na viongozi wa dini zote kuu Tanzania.
..wakati wa Jpm wako viongozi wa vyama, na wa dini kuu za hapa Tanzania, ambao walipinga ukandamizaji uliokuwa ukiendelea. Sio kweli kwamba watu wote waliufyata, wako waliopambana.
Naunga mkono hoja yakoUkiwa na akili huru na ukaitumia vizuri utaelewa kabisa kwamba mimi nina faida kwa hicho chama kuliko mnavyodhani coz nawatahadharisha na hiyo njia mnayopitia pengine kwa makusudi au bila kujua
Kweli umesema sawa hata cuf walipitishwa humo sasa kwanini nanyi mkubali kupitishwa humo?
Ni moja katika mawili either chama ni pandikizi au viongozi ni mapandikizi
Na ndio maana wakatoliki wanaunga mkono chadema?
Kinachozaa haki ni amani au kinachozaa amani ni hakiHivi kweli utapata haki pasipo na amani? Mimi nadhani amani kwanza kisha haki labda tukubaliane kwamba amani ipo,
Na amani kama ipo basi na haki ipo
Sema siasa ni kama mpira, kila anaefungwa hakubali na atatoa kila sababu za kweli na za uongo
Kuhusu bakwata nijuavyo ni taasisi iliyoanzishwa na serika pamoja na kanisa na ndio sio waislam wote wanaikubali
Sio kwasababu nimewasema wakristo na hicho chama mkafikiri natetea kwasababu ya uisla, no mie natetea uadilifu na amani,
Haki ije na wajibu coz hakuna haki bila wajibu na wengi wanataka haki lakini hawafanyi wajibu wao,
Mfano kila mtu anadai matibabu buee, shule bure na barabara nzuri huduma nzuri ila hakuna anaetimiza wajibu wake kwa mfani wa kulipa kodi stahiki kwa wafanyabiashara, wachuuzi pia na hakuna anaetimiza wajibu wake kwa kulinda miundo mbinu na kufichua wezi wa miundo mbinu, basi ilimradi watu wanasema na wao wanasema
Yaani oye oye wengi ni oye oye
HoyeeeHata wangekuwa wao wangefanya hivyo hivyo tu
Ccm hoyeee
Hizi mbwembwe tu, ni matukio ya hapa na pake, yanakubalika
Wahi milembeHizi mbwembwe tu, ni matukio ya hapa na pake, yanakubalika