Hii You Turn Inatia Shaka

Hii You Turn Inatia Shaka

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime uturn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa barabarani
  3. RAIA MWEMA imefanya Uturn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka upande fulani
  6. ...........................................................
 
Haya ndiyo madhara ya kuishi katika misingi ya hisia.

Hisia zako unazigeuza ziwe ni ukweli.
 
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime you turn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa
  3. RAIA MWEMA imefanya You Turn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka uoande fulani
  6. ...........................................................

Mkuu, kumzungumzia HUmphrey polepole ni insult kwa watu wenye akili zao

mashoga hawana nafasi bado labda wahamie detroit
 
CCM walijiondoa ufahamu na Kukata Mti Walioukalia Wakati tayari dalili za

Kukubalika kwa Lowassa walishaziona Kwenye kutafuta wadhani.
 
Ngoja leo niwe faizafoksi
Uturn hiyo U sio kifupi cha you. Ni letter hiyo hiyo U ambayo inatamkwa yu. Na maana yake ni kugeuka na kurudi ulikotoka.

Hivyo acha kuwakosoa walioiweka Uturn ukaona au wavivu kuanfika yote au vijana wa kisasa. Wewe ndio umekosea.
 
Now back to the topic.
Nafikiri kwasababu wanajua waangalizi wakimataifa wako tayari wanaangalia mchakato (kampeini, kupiga kura, kutangaza na nafikiri siku kadhaa baada ya kutangazwa).
Si unajua unafiki wa baba nanihii ni typical mswahili
 
Lowassa ndiye rais,nategemea kuona Uturn nyingi tu hata huku JF.
Fanyeni haraka kuungana na sisi jeshi la mabadiliko enyi wana wapotevu,muda bado haujaisha bado siku 23 tufanye mapinduzi.
 
CCM walijiondoa ufahamu na Kukata Mti Walioukalia Wakati tayari dalili za

Kukubalika kwa Lowassa walishaziona Kwenye kutafuta wadhani.

Madai yao eti alikuwa ananunua watu,huyu mzee anakubalika bwana.
Yaani binafsi nikimuona nachanganyikiwa!Natamani atangazwe Rais tu nifuraaahi hadi nizimie!...lol
 
Hii ngoma nzito mwaka huu. Kinachonishangaza na kunifanya nijiulize ni kuwa hivi mwaka huu fiesta haitakuwepo au ipo imebadilishwa jina .?

Fiesta ya nini tena na wasanii wameshafanya shows za bure kwenye Fiesta ya CCM?
Hakuna mwenye akili mbovu anayeweza kupoteza fedha zake kwa kuandaa fiesta ya pili maana ni hasara tu.
Wasanii wameshapiga show almost mikoa yote.
 
Fiesta ya nini tena na wasanii wameshafanya shows za bure kwenye Fiesta ya CCM?
Hakuna mwenye akili mbovu anayeweza kupoteza fedha zake kwa kuandaa fiesta ya pili maana ni hasara tu.
Wasanii wameshapiga show almost mikoa yote.

Aliyekwambia wanafanyavshow za bure ni nani, ccm inawalipa kama hujui, we unadhani kwanini ray na aunt ezekiel wamerudi ccm, ni mavumba, hivyo wanalipwa tena pesa nyingi sana
 
Mkuu, kumzungumzia HUmphrey polepole ni insult kwa watu wenye akili zao

mashoga hawana nafasi bado labda wahamie detroit

Mkuu umeshuhudia mwenye chair wa NCCR jana alivyokuwa anaongea huku amebenjua midomo huku ananing'iniza mikono? Si bure pale yakheeee
 
Madai yao eti alikuwa ananunua watu,huyu mzee anakubalika bwana.
Yaani binafsi nikimuona nachanganyikiwa!Natamani atangazwe Rais tu nifuraaahi hadi nizimie!...lol

Mkuu hebu fafanua zaidi, unapataje huo muwashawasha ukimuona mamvi?
 
Hii ngoma nzito mwaka huu. Kinachonishangaza na kunifanya nijiulize ni kuwa hivi mwaka huu fiesta haitakuwepo au ipo imebadilishwa jina .?

Gazeti pekee Tanzania ambalo mtu yeyote mwenye akili na hekima duniani kote,anaweza kutenga muda wake na kulisoma ni RAIA MWEMA.Wewe haulisomi vizuri na km unalişoma,unapitia tu headıngs.Kalisome tena wiki ijayo ama soma makala ya Mbwambo wk hii alafu urudi hapa.Ni gazeti linaandıka uhalisia na tafakuri jadıdi ya mambo.Toka mwanzo liko na wanamwongelea kila mmoja kwa uzito unaostahilı.
 
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime you turn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa
  3. RAIA MWEMA imefanya You Turn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka uoande fulani
  6. ...........................................................


Wamesoma ramani wakaona watapotea mkuu.
 
Ngoja leo niwe faizafoksi
Uturn hiyo U sio kifupi cha you. Ni letter hiyo hiyo U ambayo inatamkwa yu. Na maana yake ni kugeuka na kurudi ulikotoka.

Hivyo acha kuwakosoa walioiweka Uturn ukaona au wavivu kuanfika yote au vijana wa kisasa. Wewe ndio umekosea.

Wewe utakubali mwanao aolewe na jambazi kisa ana hela??Lowasa hatakuwa rais,nyie endelea na mbwembwe zenu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom