Kujifungua kwa upasuaji linaenda kuwa janga la Taifa

jeipm

JF-Expert Member
Sep 28, 2018
500
820
Nitiririke moja kwa moja kwenye hoja tajwa hapo juu.

Nahisi Kuna mpango nyuma ya pazia kwa hii idadi ya wanawake inayoongezeka kwa wajawazito kupangiwa au kujikuta wanalazimika kujifungua kwa njia ya upasuaji.

Ndani ya familia yangu na ndugu wa karibu kati ya wanawake 4 wachanga wanajifungua 1.5 wanajifungua kwa upasuaji.

Ushauri: kujifungua kwa upasuaji ni ukilema Kama ukilema mwingine,

sio kwamba wanawake wote wanajifungua kwa upasuaji lilikuwa chagua sahii kiafya hapana asilimia kubwa walipangiwa kimakusudi na madaktari na wauguzi kwa maslahi yao wenyewe.

Manesi na wauguzi wanakwepa majukumu yao ya kuzalisha wajawazito kwa njia ya kawaida, huku wakijua kwamba upande wa pili hakuna kutumia jasho huku wakijipatia posho kwa kila upasuaji wanaofanya.

Athari kwa mtoto:
- mtoto anayezaliwa anapaswa kunyonya maziwa ya mama yake ndani ya dk 30 baada ya kuzaliwa, ila mtoto anayezaliwa kwa njia ya upasuaji atasubiria kunyonya kwa muda mrefu akisubiria mama ashonewe jeraha lake hdi azinduke usingizini inachukua Kama lisaa limoja


Athari kwa mama mwenyewe:
1-mama mjamzito kabla ya kujifungua kwa upasuaji itabidi adungwe sindano ya usingizi wa kifo hadi upasuaji umalizike hili pia lina athari kiafya

2-kama utajifungua kwa njia ya upasuaji kwa ujauzito wako kwa Kwanza kibongo bongo hapa tegemea watoto wote watakaofata utajifungua kwa njia hiyo hiyo ya upasuaji.

3-mama mjamzito atabakia na makovu ya muda mrefu ya maisha yake yote na makovu haya wanasumbua sana kwa maumivu hasa wakati wa baridi

4-madhara ya matumizi ya antibiotics baada ya kufanyiwa upasuaji, madhara ya madawa haya yanajulikana na huwa wanaingia hadi kwenye maziwa ambayo mtoto huyo mchanga atakuwa ananyonya

5-muhusika anapangiwa idadi ya kuzaa mwisho watoto 3 Hadi 4, kulingana na madhara ya makovu ambayo yametokea kwenye mfuko wa kizazi.


Muhimu: serikali imekaa kimya juu ya Jambo hili kwa hiyo jiongeze kwa namna yako mwenyewe dawa za asili za kufungua njia zinapatikana kwa kila kabila msisahau maisha ya kiafrika mkakimbila maisha ya kizungu likija jambo Kama hilo unabakia peke yako wajanja wanafaidi
 
Ni bora mke wako akajifungulie Mwananyamala kuliko hizi hosp za Private. Kwenye hizi private C section ina pesa mingi kuliko normal delivery.
So kwa tamaa ya hela ukimpeleka mkeo private. Chances are by 75% she will have a C section.
 
Nitiririke moja kwa moja kwenye hoja tajwa hapo juu.

Nahisi Kuna mpango nyuma ya pazia kwa hii idadi ya wanawake inayoongezeka kwa wajawazito kupangiwa au kujikuta wanalazimika kujifungua kwa njia ya upasuaji.

Ndani ya familia yangu na ndugu wa karibu kati ya wanawake 4 wachanga wanajifungua 1.5 wanajifungua kwa upasuaji.

Ushauri: kujifungua kwa upasuaji ni ukilema Kama ukilema mwingine,

sio kwamba wanawake wote wanajifungua kwa upasuaji lilikuwa chagua sahii kiafya hapana asilimia kubwa walipangiwa kimakusudi na madaktari na wauguzi kwa maslahi yao wenyewe.

Manesi na wauguzi wanakwepa majukumu yao ya kuzalisha wajawazito kwa njia ya kawaida, huku wakijua kwamba upande wa pili hakuna kutumia jasho huku wakijipatia posho kwa kila upasuaji wanaofanya.

Athari kwa mtoto:
- mtoto anayezaliwa anapaswa kunyonya maziwa ya mama yake ndani ya dk 30 baada ya kuzaliwa, ila mtoto anayezaliwa kwa njia ya upasuaji atasubiria kunyonya kwa muda mrefu akisubiria mama ashonewe jeraha lake hdi azinduke usingizini inachukua Kama lisaa limoja


Athari kwa mama mwenyewe:
1-mama mjamzito kabla ya kujifungua kwa upasuaji itabidi adungwe sindano ya usingizi wa kifo hadi upasuaji umalizike hili pia lina athari kiafya

2-kama utajifungua kwa njia ya upasuaji kwa ujauzito wako kwa Kwanza kibongo bongo hapa tegemea watoto wote watakaofata utajifungua kwa njia hiyo hiyo ya upasuaji.

3-mama mjamzito atabakia na makovu ya muda mrefu ya maisha yake yote na makovu haya wanasumbua sana kwa maumivu hasa wakati wa baridi

4-madhara ya matumizi ya antibiotics baada ya kufanyiwa upasuaji, madhara ya madawa haya yanajulikana na huwa wanaingia hadi kwenye maziwa ambayo mtoto huyo mchanga atakuwa ananyonya

5-muhusika anapangiwa idadi ya kuzaa mwisho watoto 3 Hadi 4, kulingana na madhara ya makovu ambayo yametokea kwenye mfuko wa kizazi.


Muhimu: serikali imekaa kimya juu ya Jambo hili kwa hiyo jiongeze kwa namna yako mwenyewe dawa za asili za kufungua njia zinapatikana kwa kila kabila msisahau maisha ya kiafrika mkakimbila maisha ya kizungu likija jambo Kama hilo unabakia peke yako wajanja wanafaidi
Halafu wameanza kufa Sana baada ya hizo C/S.Tena inatokea kwenye hospital advanced kabisa.Bugando,meta nk
 
Pia huu n mpango wa shetani.
Maana lengo la shetan n kuhakikisha yale Mungu alosema hayaendi kutokea "kazaeni muijaze duni" mtu akishajifungua kwa kupasuliwa anatakowa azae watoto 3 mwisho wanne tu.
Sasa kama mtu alitaka watoto wa 5 au 6 haiwezekan tena
 
Nitiririke moja kwa moja kwenye hoja tajwa hapo juu.

Nahisi Kuna mpango nyuma ya pazia kwa hii idadi ya wanawake inayoongezeka kwa wajawazito kupangiwa au kujikuta wanalazimika kujifungua kwa njia ya upasuaji.

Ndani ya familia yangu na ndugu wa karibu kati ya wanawake 4 wachanga wanajifungua 1.5 wanajifungua kwa upasuaji.

Ushauri: kujifungua kwa upasuaji ni ukilema Kama ukilema mwingine,

sio kwamba wanawake wote wanajifungua kwa upasuaji lilikuwa chagua sahii kiafya hapana asilimia kubwa walipangiwa kimakusudi na madaktari na wauguzi kwa maslahi yao wenyewe.

Manesi na wauguzi wanakwepa majukumu yao ya kuzalisha wajawazito kwa njia ya kawaida, huku wakijua kwamba upande wa pili hakuna kutumia jasho huku wakijipatia posho kwa kila upasuaji wanaofanya.

Athari kwa mtoto:
- mtoto anayezaliwa anapaswa kunyonya maziwa ya mama yake ndani ya dk 30 baada ya kuzaliwa, ila mtoto anayezaliwa kwa njia ya upasuaji atasubiria kunyonya kwa muda mrefu akisubiria mama ashonewe jeraha lake hdi azinduke usingizini inachukua Kama lisaa limoja


Athari kwa mama mwenyewe:
1-mama mjamzito kabla ya kujifungua kwa upasuaji itabidi adungwe sindano ya usingizi wa kifo hadi upasuaji umalizike hili pia lina athari kiafya

2-kama utajifungua kwa njia ya upasuaji kwa ujauzito wako kwa Kwanza kibongo bongo hapa tegemea watoto wote watakaofata utajifungua kwa njia hiyo hiyo ya upasuaji.

3-mama mjamzito atabakia na makovu ya muda mrefu ya maisha yake yote na makovu haya wanasumbua sana kwa maumivu hasa wakati wa baridi

4-madhara ya matumizi ya antibiotics baada ya kufanyiwa upasuaji, madhara ya madawa haya yanajulikana na huwa wanaingia hadi kwenye maziwa ambayo mtoto huyo mchanga atakuwa ananyonya

5-muhusika anapangiwa idadi ya kuzaa mwisho watoto 3 Hadi 4, kulingana na madhara ya makovu ambayo yametokea kwenye mfuko wa kizazi.


Muhimu: serikali imekaa kimya juu ya Jambo hili kwa hiyo jiongeze kwa namna yako mwenyewe dawa za asili za kufungua njia zinapatikana kwa kila kabila msisahau maisha ya kiafrika mkakimbila maisha ya kizungu likija jambo Kama hilo unabakia peke yako wajanja wanafaidi
Nilipokuwa kijana mdogo niliwaza kama wewe,


Lakini wakati wa ujauzito wa mke wangu kwa mtoto wangu wa kwanza nilijifunza mengi.

Mke wangu alijifungua kwa operation, hadi week ya 43 chupa haijapasuka, tukaenda tarehe tuliyopangiwa.

Pale hosp kukawa na mabishano ya daktari na mkunga.
Mkunga analazimisha apigwe sindano ya uchungu, daktari kagoma anataka CS kulingana na majibu ya ultrasound.


Baadaye nikarudishiwa kuamua mimi, ilikuwa hospital ya serikali

Tukaamua kwenda na CS,

Mtoto katoka na kg 5 kasoro, yule mkunga anarudi ananipongeza kwa maamuzi yale.


Niliambiwa kulingana na kimo cha mama, njia ingepanuliwa sana kwa sababu mtoto alikuwa mkubwa sana, hivyo angekuwa na kovu kubwa sana huku chini.

Pia kama ingekuwa kijijini, tungeweza mpoteza mama.


Mtoa mada umeshawahi jiuliza kwanini vifo vya mama na mtoto vimepungua?????


CS ni njia salama kwa mama na mtoto.
 
Mtoa mada...mambo ya kusubiri uchungu uje yameshapitwa na wakati. Kujifungua kawaida Kuna risk kubwa sana ya kupoteza mtoto, mtoto kuharibika kichwa coz of kubanwa na hata kunywa yake maji ya tumboni kutokana na uzembe mwingi.
Mtoto wangu wa kwanza tulimpoteza kutokana na uzembe wa wauguzi wakati wa kujifungua, walimchelewesha kitu kilichosabahisha mtoto kunywa yake maji na kupata infection
 
Nilipokuwa kijana mdogo niliwaza kama wewe,


Lakini wakati wa ujauzito wa mke wangu kwa mtoto wangu wa kwanza nilijifunza mengi.

Mke wangu alijifungua kwa operation, hadi week ya 43 chupa haijapasuka, tukaenda tarehe tuliyopangiwa.

Pale hosp kukawa na mabishano ya daktari na mkunga.
Mkunga analazimisha apigwe sindano ya uchungu, daktari kagoma anataka CS kulingana na majibu ya ultrasound.


Baadaye nikarudishiwa kuamua mimi, ilikuwa hospital ya serikali

Tukaamua kwenda na CS,

Mtoto katoka na kg 5 kasoro, yule mkunga anarudi ananipongeza kwa maamuzi yale.


Niliambiwa kulingana na kimo cha mama, njia ingepanuliwa sana kwa sababu mtoto alikuwa mkubwa sana, hivyo angekuwa na kovu kubwa sana huku chini.

Pia kama ingekuwa kijijini, tungeweza mpoteza mama.


Mtoa mada umeshawahi jiuliza kwanini vifo vya mama na mtoto vimepungua?????


CS ni njia salama kwa mama na mtoto.
Hongera sana kwa maamuzi hayo, hata mm Mke wangu kwa Mara ya kwanza alishindwa kujifungua na masaa 18 chupa ilishapasuka, walikuwa NI mapacha, mmoja hakutoka hai
Mleta Mada haelewi lolote, si kwamba Mara zote no C /S
 
Back
Top Bottom