Hii ya Tabora imenishangaza sana

Hii ya Tabora imenishangaza sana

Nimeshangazwa na umati mkubwa wa raiya pamoja na wanajeshi wa jeshi la jwtz kukusanyika kwa wingi kushuhudia tukio ambalo ukweli linasikitisha ,tukio lenyewe ni bank ya exim walikuwa wanatoa msaada wa kitanda tena kimoja cha kujifungulia wajawazito, kilichonishangaza umati kama ule kushuhudia msaada wa kitanda tena kimoja kweli hari hii inasikitisha sana, tena hata star tv wamelitoa hilo tukio katika taarifa ya habari saa mbili usiku, naiyomba tuu bank hii vitu vidogo vidogo kama vile muwe mnavitoa tu kimya kimya sio lazima mpaka jeshi na saluti juu, mnadhalilisha watu

serikali ingekuwa inawajibika ipasavyo kudhalilika kwa kutolewa misaada ya kuigiza kusingetokea! fedha zinazotolewa na wahisani wa nje na wa ndani zote ni za serikali! wakoloni walipora maliasili zetu na leo wanahamisha kupitia mikataba mibovu, wa ndani wanawezeshwa kukwepa kodi na kujidai wanatoa misaada!
 
...hii kitu imenikumbusha mbal....mwaka 2001 wakat nipo kidato cha tatu shule ya sekondar magamba..lushoto (nw chuo) mheshimiwa ngwiliz alikuwa wazir tamisemi alikuja n mahafar ya kwanza ya A level..hatukuingia class mor dann a week tunapiga mausaf kisa wazir anakuja...den n uchangiaj nadhan n ujenz wa madarasa alitoa elfu 50 tu....dah...balaa tupu.....
 
nina rafiki yangu mkenya niko nae hapa kwangu amenitembelea ameshangaa sana tanzania kitanda kimoja umati kama anakuja rais najeshi juu jamani,na saruti nyingi tuuu

Vibaraka wa cmm at work.ova!
 
Raiya ndio nini? Hari ndio nini? Naiyomba ndio nini? Hivi nyinyi wakimbizi mbona hamtaki kurudi kwenu? Kwani vita si vimeisha? Ondokeni jamani mnatuharibia amani na lugha yetu adhimu ya kiswahili
Kwenye neno kiswahili umesahau kuweka nukta. Wee vipi mbona unatuharibia maandishi ya kiswahili??
 
Back
Top Bottom