Hii ya mwanamke kuomba 100, 200 hii imekaaje?

Nawatakia sikukuu njema Jf

Ndugu zangu mwanamke ninaishi ishi naye amepata trip ya kikazi kwa miezi 6 sasa hivi inakaribia kumaliza mwenzi mmoja tangu aanze safari yake nikabaki mpweke.


Kwa hulka zetu na kibailojia tulivyoubwa huwezi ukaakaa miezi bila kufanya mapenzi itakutesa Sana mwisho siku utakuta unafanya vitu vya ovyo so nikaamua nikatafute mchepuko kidogo na kiukweli nimeweza kumpata mwanadada fulani hivi shombeshombe mzuri.


Lakini shakushangaza huyu manzi vizinga vyake atakuomba 100, 200 especially tukikutana na nikiwa mbali nae ataniomba 500 au kazidi Sana ni buku ni mimi tu au kuna wengine wamekutana na aina hii ya mademu?

Na ni demu mkali ile mbaya, msafi kimwili Unaweza kuingia chumvini nae bila wasiwasi kabisa na smart kimavazi mwanamke kama huyu inakuaje anaomba 100, 200 wataalamu tusaidiane please kuna wakati nawaza binafsi kama vile hana shida na pesa sema tu ananiomba hivyo kama chachu yakuongeza mapenzi
Yaani hapo kwenye hiyo anayo kuomba anagopa kuongeza sifuri mbili
 
Nawatakia sikukuu njema Jf

Ndugu zangu mwanamke ninaishi ishi naye amepata trip ya kikazi kwa miezi 6 sasa hivi inakaribia kumaliza mwenzi mmoja tangu aanze safari yake nikabaki mpweke.


Kwa hulka zetu na kibailojia tulivyoubwa huwezi ukaakaa miezi bila kufanya mapenzi itakutesa Sana mwisho siku utakuta unafanya vitu vya ovyo so nikaamua nikatafute mchepuko kidogo na kiukweli nimeweza kumpata mwanadada fulani hivi shombeshombe mzuri.


Lakini shakushangaza huyu manzi vizinga vyake atakuomba 100, 200 especially tukikutana na nikiwa mbali nae ataniomba 500 au kazidi Sana ni buku ni mimi tu au kuna wengine wamekutana na aina hii ya mademu?

Na ni demu mkali ile mbaya, msafi kimwili Unaweza kuingia chumvini nae bila wasiwasi kabisa na smart kimavazi mwanamke kama huyu inakuaje anaomba 100, 200 wataalamu tusaidiane please kuna wakati nawaza binafsi kama vile hana shida na pesa sema tu ananiomba hivyo kama chachu yakuongeza mapenzi
Ogopa sana mtu akikuomba hela ya coin hata wale wa barabarani c vzur kumpa mtu hela ya coin.... ndugu siku ukijakuachana nae anaweza kujakukufanya kitu kibaya ambacho kitakumaliza kiuchumi
 
Nawatakia sikukuu njema Jf

Ndugu zangu mwanamke ninaishi ishi naye amepata trip ya kikazi kwa miezi 6 sasa hivi inakaribia kumaliza mwenzi mmoja tangu aanze safari yake nikabaki mpweke.


Kwa hulka zetu na kibailojia tulivyoubwa huwezi ukaakaa miezi bila kufanya mapenzi itakutesa Sana mwisho siku utakuta unafanya vitu vya ovyo so nikaamua nikatafute mchepuko kidogo na kiukweli nimeweza kumpata mwanadada fulani hivi shombeshombe mzuri.


Lakini shakushangaza huyu manzi vizinga vyake atakuomba 100, 200 especially tukikutana na nikiwa mbali nae ataniomba 500 au kazidi Sana ni buku ni mimi tu au kuna wengine wamekutana na aina hii ya mademu?

Na ni demu mkali ile mbaya, msafi kimwili Unaweza kuingia chumvini nae bila wasiwasi kabisa na smart kimavazi mwanamke kama huyu inakuaje anaomba 100, 200 wataalamu tusaidiane please kuna wakati nawaza binafsi kama vile hana shida na pesa sema tu ananiomba hivyo kama chachu yakuongeza mapenzi
Sawa ila hiyo ya kusema mwanaume ukikaa mwezi bila kufanya mapenzi unafanya mambo za ovyo sio kweli, hiyo iwe hulka yako tu na kujiendekeza, ila unaweza kaa mda wowote ule hata miaka na hamna tatizo,acha kuendekeza ngono man.
 
Ngono inakupeleke puta kijana, ukiendekeza ngono itakufilisi.

Kwani huyo manzi anaishi kwao au kwake?? Ana kazi au hana!?

Yawezekana hana majukumu mengi, subiri subiri baada ya miez kadhaa akuombe kodi utuletee uzi tena.
 
Brother hajaelewa yaani akisema naomba 100 sio hii ya coin maana yake anataka 100,000/= kama kweli ni hiii coin ya 100 au 200 basi sambaaaa fasta eneo hilo maana utapigwa na kimbora cha tunguli na kibwata la jogoooo
 
Brother hajaelewa yaani akisema naomba 100 sio hii ya coin maana yake anataka 100,000/= kama kweli ni hiii coin ya 100 au 200 basi sambaaaa fasta eneo hilo maana utapigwa na kimbora cha tunguli na kibwata la jogoooo
Ni coin mzee
 
Back
Top Bottom