britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mi si. Lumumba bwana hahaKwa thread yako hii subiri matusi ya wanalumumba wenzio
Mi si. Lumumba bwana hahaKwa thread yako hii subiri matusi ya wanalumumba wenzio
Naninimeandika nikafuta mara zaidi ya saba, sikuwahi kumuelewa KP alivyoandika comment kama hii!
SijuiNyinyi "mumpyupyu" halafu mugharimie mazishi, hiyo imekaaje Wakuu??
Kwanini unasema hayoo?Wewe jamaa ni moja ya member wanafki sana humu ndani.
Mkuu kuwa mpole "hapa kazi tu" ni kuua kwa kwenda mbele maana mhutu kapewa kiti cha enzi cha Tz! huyu jamaa ana kiu kubwaaaaaaaaaaaaaa ya damu za watu!!Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Mbeya ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya hiyo, William Ntinika amefunguka na kuweka wazi kuwa serikali itagharamia mazishi ya kijana Alen Achiles (20), aliyefariki muda mfupi baada ya kutoka polisi.
Mkuu wa wilaya huyo ambaye alifika nyumbani kwa wazazi wa marehemu na kutoa rambirambi ya laki mbili na kuahidi kuwa serikali itagharamia mazishi ya kijana huyo ikiwa pamoja na kukodi gari la matangazo pamoja na chakula
Serikali haipaswi kuishia hapo inapaswa kutoa adhabu kali kwa wahusika, na pia kuangalia upya njia mbadala wa kufanya operation zake bila kuathiri maisha ya watu,
Inauma kama mzazi au ndugu wa mtu kupotea alafu majibu ni kwamba watagharamia.mazishi,
View attachment 727392
Hao usiwe na wasiwasi naoNisichoelewa ni wapi walipo wale polisi 6 tulioambiwa wamekamatwa kwa mauaji ya Akwilina?
Polisi hewa.
Na hao waliompiga na kumuua huyo kijana wako wapi. Au siku hizi kugharamia mazishi ndio njia mpya ya utoaji wa haki?
we Cstar mi nakukubali sana yan una vimaneno maneno flan hivi fikirishi!!keep it up..Hivi wana Mbeya walisema hawawezi kugharamia msiba?