Mimi ni mkristo Mlutheri(nimezaliwa katika familia ya kilutheri).Tangu nilipoanza kujitambua nimekuwa nikihoji baadhi ya misimamo ya kanisa,mfano ni dawa za kienyeji. Huwa najiuliza inakuwaje mtu akimeza mzizi wa mti fulani iwe dhambi! mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wahubiri wakilaani matumizi ya dawa hizi kuwa ni ushetani!
Leo hii tunashuhudia kanisa (imetangazwa na KKKT -Kupitia ASKOFU laizaer na kwa kuwa haijabatilishwa naamini huu ni msimamo wa KKKT TANZANIA) KUWA DAWA HII NI HALALI NA KWA HESHIMA YA UFUNUO WA BABU AMEREJESHWA KATIKA PAY ROLL YA KANISA!
Kimsingi sipingi tiba ya babu kwa sababu linapokuja suala la ugonjwa dawa inatafutwa mahali popote ,labda kama hujawahi kuugua utapinga !kinacho nishangaza ni msimsmo wa kanisa kuhusu tiba hii !Hivi ikitokea ikaonekana TIBA YA BABU SI YA KUOTESHWA NA MUNGU KANISA LITASIMAMA WAPI!
JE KWA HATUA HII KANISA LIMEHALALISHA UGANGA WA ASILI.JE WAKITOKEA WALUTHERI WENGINE WAKASEMA WAMEEOTESHWA, KANISA LITAWAPINGA?
Kwa tabia yetu ya kutopenda kuijitambua na kuhoji DINI zetu na viongozi wake kuna watu nitawakwaza !Lakini hili halizuii kuhtafuta ukweli!
Tujadiliane!
Leo hii tunashuhudia kanisa (imetangazwa na KKKT -Kupitia ASKOFU laizaer na kwa kuwa haijabatilishwa naamini huu ni msimamo wa KKKT TANZANIA) KUWA DAWA HII NI HALALI NA KWA HESHIMA YA UFUNUO WA BABU AMEREJESHWA KATIKA PAY ROLL YA KANISA!
Kimsingi sipingi tiba ya babu kwa sababu linapokuja suala la ugonjwa dawa inatafutwa mahali popote ,labda kama hujawahi kuugua utapinga !kinacho nishangaza ni msimsmo wa kanisa kuhusu tiba hii !Hivi ikitokea ikaonekana TIBA YA BABU SI YA KUOTESHWA NA MUNGU KANISA LITASIMAMA WAPI!
JE KWA HATUA HII KANISA LIMEHALALISHA UGANGA WA ASILI.JE WAKITOKEA WALUTHERI WENGINE WAKASEMA WAMEEOTESHWA, KANISA LITAWAPINGA?
Kwa tabia yetu ya kutopenda kuijitambua na kuhoji DINI zetu na viongozi wake kuna watu nitawakwaza !Lakini hili halizuii kuhtafuta ukweli!
Tujadiliane!