Hii ya Amri Kiemba imekaaje?

Hata suala la Yondani kuna wajanja waliliyumbisha sana, asubuhi akaahidiwa m 25 na Kaburu, mchana anamoigia simu Kaburu haoatikani, Yanga wakaja na 30 (penye udhia penyeza Rupia) nadhani kuna namna ameyumbishwa na madau
Ngoja tusubiri mkuu, maana mchezaji mwenyewe bado hasomeki vizuri...kuna wakati alitikisa kiberiti Simba kwa habari zake kuzagaa kuwa kasaini Jangwani lakini baada ya siku mbili, kaka yake ambaye ndiye meneja wake akawa kama anataka kufanya mazungumzo na Simba kwa dau zuri.
Kitu kizuri ni kuwa Kiemba nadhani alishamaliza mkataba na Simba na sasa yupo huru muda ambao kiwango chake kimekuwa kizuri zaidi...
 
akienda yanga nitamshangaa sana, si alikuwa huko yanga akatimuliwa eti kiwango chake kidogo, simba wakampa nafasi, wakamtrain sasa kiwango kimerudi anataka kurudi huko alikotimuliwa?? ushauri wangu dogo atulie simba tumtafutie timu nje akienda yanga asahau kwenda nje
ni kama anarudia matapishi yake...............lakn usisahu maslahi pia, halafu hata yeye alicheza kimapoenzi sana mechi yetu ile naweza kusema KULIKO HATA NGASSA Macd
 
sera ya simba nikuuza wachezaji kama unataka kuuzwa nenda simba so mkuu usishangae sana ndio ipo hivo..

Kiemba kamaliza mkataba Simba, akiondoka Simba haijamuuza kwa vile si mali yake. Simba wakitaka kummiliki wamsajili kwanza kisha ndipo wamuuze. Hivi sasa Kiemba ni mchezaji huru anaweza kujiunga na klabu yoyote wakifikia maelewano. Hoja yako ya Simba kuuza wachezaji haina ukweli kwa Kiemba.
 
Kiwango chake cha miezi ya karibuni tokea aanze kuaminiwa na Poulsen ndio kimemrudisha tena kwenye chati...ninaamini timu yoyote kati ya Yanga au Simba itakayopata huduma yake basi watakuwa wamelamba dume...

Hata suala la Yondani kuna wajanja waliliyumbisha sana, asubuhi akaahidiwa m 25 na Kaburu, mchana anamoigia simu Kaburu haoatikani, Yanga wakaja na 30 (penye udhia penyeza Rupia) nadhani kuna namna ameyumbishwa na madau
 
Jamani tembeleeni Shaffih dauda blog,kaiweka kama 'BREAKING NEWS KIEMBA KASAJILIWA YANGA'
 
Kiwango chake cha miezi ya karibuni tokea aanze kuaminiwa na Poulsen ndio kimemrudisha tena kwenye chati...ninaamini timu yoyote kati ya Yanga au Simba itakayopata huduma yake basi watakuwa wamelamba dume...
infact, Millovan ndiye aliyemrudisha kiwango, Simba walikua wamtoe mkpo akagoma nikawa nafanya naye tizi kinesi na maveteran.........................baadaye akamng'arisha
 
Kwani watu wa Yanga wapo vipi mkuu?
mh..............hiyo siyo ya kuweka hapa but uko very analytical kama watu wa Simba, Yanga wengi wako emotional, while Simba wako Rational sidadavui sana.........
 
mh..............hiyo siyo ya kuweka hapa but uko very analytical kama watu wa Simba, Yanga wengi wako emotional, while Simba wako Rational sidadavui sana.........

Hahahah mkuu mimi napenda mpira kwa ujumla vilevile hupenda kuongea uhalisia...
 
Simba kwa sasa Hakuna pesa ndio maanaa wanapata shida kwenye usajili

Kama ni udhamini, hata Simba nao wanao tu kama wa Yanga. Nadhani tatizo kubwa ni ubabaishaji wa Mwenyekiti, Rage maneno tu ndio yamemjaa...ni mbabaishaji tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom