Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
rhetorically nataka mtoke nje ya huu wigo wa EAC, muende mbali thus ni dua mkuuMtani inauma eeeh!!! pole ndio soka letu hili hatuna pa kukimbilia
rhetorically nataka mtoke nje ya huu wigo wa EAC, muende mbali thus ni dua mkuuMtani inauma eeeh!!! pole ndio soka letu hili hatuna pa kukimbilia
Rage kisiki cha mpingo aliaga kwaoMalkia wa Nyuki alitaka kumchomoa Rage sasa baada ya kuona biashara zake hazitoenda poa akaamua ajiondokee zake
ila sitapenda akisaini simba!nitafurahi akisaini yangu!!Nadhani Kiemba atasaini Simba...
rhetorically nataka mtoke nje ya huu wogo wa EAC, muende mbali thus ni dua mkuu
....inasemekana Amri Kiemba amesaini Yanga, tayari kwa kutumikia timu hiyo msimu ujao. inakuaje Simba wanaachia wachezaji muhimu wote kuondoka ndani ya kikosi!!!!, Amri Kiemba ni mchezaji mwenye nidhamu ya hali ya juu sana na anaheshimu kazi yake kwa kiasi chochote ambacho alikua anaitaji angepatiwa tu,
kama ni kweli; Binafsi naona haijakaa sawa, kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya benchi la ufundi la Simba. Sijui wadau ili linawagusaje aisee.
Huu uongozi wetu wa sasa msimbazi unanipa SHIDA kuwaelewa aisee! Kumpoteza kiemba na kaseja tutakuja kujuta wakuu!
....inasemekana Amri Kiemba amesaini Yanga, tayari kwa kutumikia timu hiyo msimu ujao. inakuaje Simba wanaachia wachezaji muhimu wote kuondoka ndani ya kikosi!!!!, Amri Kiemba ni mchezaji mwenye nidhamu ya hali ya juu sana na anaheshimu kazi yake kwa kiasi chochote ambacho alikua anaitaji angepatiwa tu,
kama ni kweli; Binafsi naona haijakaa sawa, kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya benchi la ufundi la Simba. Sijui wadau ili linawagusaje aisee.
Yanga kweli ni timu ya hovyo, badala wasajili vijana wao wanaangaika na wazee tu. Kwanza hapa wanakula matapishi yaoConfirmed!!!!!
Baada ya kuona Hamisi Kiiza anazikataa million35 wakaamua kumalizana na Kiemba siku ya tar 23may kabla ya kwenda Morocco.
Kwa kifupi ni kweli Kiemba kasaini Yanga na pengine siku mbili hizi akatambulishwa kwa wanajangwani!!!!!
Kuuza bila kuzalisha m badala! hii imekaaje?sera ya simba nikuuza wachezaji kama unataka kuuzwa nenda simba so mkuu usishangae sana ndio ipo hivo..
ni sawa, yako ni Coastal?ila sitapenda akisaini simba!nitafurahi akisaini yangu!!
haswaaaaa, lakn watakuja wengine, wengi wameondoka na Simba ipo imaraHuu uongozi wetu wa sasa msimbazi unanipa SHIDA kuwaelewa aisee! Kumpoteza kiemba na kaseja tutakuja kujuta wakuu!
huenda una ukweliBora kiemba kuondoka SIMBA kuliko kaseja kwani wanasimba furaha yenu ndo mwisho wake kwani mtakuwa na huzuni kila siku.
unajua maneno hata kwenye khanga yapo, inawezekana Yanga ni tisha toto tu, lakn ukweli bao lake na kiwango cha juzi vimempa chati sana
ila sitapenda akisaini simba!nitafurahi akisaini yangu!!
Simba kwa sasa Hakuna pesa ndio maanaa wanapata shida kwenye usajili
Sera ya kuuza wachezaji pesa zisionekani ni sera kwa manufaa ya nani sasa hiyo!sera ya simba nikuuza wachezaji kama unataka kuuzwa nenda simba so mkuu usishangae sana ndio ipo hivo..