Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,360
Hans anashughulika na nini? Yeye ndio mwenyekiti wa kamati ya usajili wa Simba hata Mrisho Ngasa yeye ndio alitoa hela kumsanisha
wanasaidiana...ila wote wamehusika kuleta wachezaji wabovu...kama hizo picha za juu zinavyoonesha..
na kwa sababu wanatoa hela zao mfukoni basi hata mchezaji hajamuona wanasajili tu...