Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,084
- 93,891
YapNi wale "makatibu mahususi" wa kutoka pale Mboka!!??
YapNi wale "makatibu mahususi" wa kutoka pale Mboka!!??
Hawa jamaa ameanza kuiba nao tangu akiwa Naibu WaziriWale wale Tu!
Kila mtu anapigania watu wake katika cycle yake ipate ulaji!
Kuna mainjinia wengi sana hii waliyojenga na kusimamia ujenzi wa mambo makubwa lakini hatukuona majina yakibandikwa kwenye madaraja!
Hili mimi lilinipa ukakasi Sana. Mfugale tower. Mfugale flyover. Kijazi flyover mmmmh!
Wakandarasi hawakuwa wazawa bali Wachina!
Huyu kigogo naye anageuka kuwa mchonganishi!! Si aseme kontena la pesa liko wapi lishughulikiwe?Ndiyo teuzi majina ni yaleyale kila siku
Unajipa moyo, Watanzania sisi ni shida sanaManeno tu yale, huyu mtu inawezekana yupo hapa hapa nchini, anaongea kwa jazba tu ila hamna substance kwenye anachoongea.
Kigogo hana mvuto tena, Kigogo ni Nape NauyeHuyu kigogo naye anageuka kuwa mchonganishi!! Si aseme kontena la pesa liko wapi lishughulikiwe?
Sahihi mkuu!Hawa jamaa ameanza kuiba nao tangu akiwa Naibu Waziri
Hakuna contena la pesa, kuna mtu anaona hasikiki hasemwi page imedorora!Huyu kigogo naye anageuka kuwa mchonganishi!! Si aseme kontena la pesa liko wapi lishughulikiwe?
Mtaji WA wanasiasa ni ujinga wetu na kutokuelewa vitu!Kwahio Hazina pale kuna chumba moja kubwaa wanatunza hela sio😅😅
Kua uyaone mdogo wangu
Hazina=MoFP
Ni policy maker tu na controller wa hizo hela..hakai na mahela pale, ni kama TRA tu anakusanya but
All the money stays wth BoT na wanaziaccess through Commercial Banks
Ila basi endelea kubisha sio mbaya pia
Siku njema
Wezi wenzakeSahihi mkuu!
Ile tower Chato ingeitwa Matindi tower au captain Mazrui, ningeamini, ni kuenzi wasomi!
Ila Ile ilikuwa ni ubinafsi na upendeleo!
Bahati nzuri wote wa3 hawapo haiSahihi mkuu!
Ile tower Chato ingeitwa Matindi tower au captain Mazrui, ningeamini, ni kuenzi wasomi!
Ila Ile ilikuwa ni ubinafsi na upendeleo!
Nampa pole PM kassim majaliwa kwa kazi nzito na muhimu anazozifanya BIGUP to #KASSIM you deserve a more special public workHawa wa Arusha jiji walikata kamba?
"Wengini waliosimamishwa kazi ni Mariamu Mshana ambaye ni mweka hazina wa Jiji hilo, Alex Daniel , Innocent Maduhu na Nuru Kinana kutoka ofisi ya mchumi pamoja na Joel ambao yupo katika Halmashauri ya Longido kwa sasa."
Majaliwa awasimamisha kazi vigogo sita Arusha
Siwezi kuzisema zimezungumzwa sana kwenye jukwaa hili.Zipi hizo? Si ungeongea bila kuniattack 😡
Kama huwezi kuzisema, ungeniacha tu...Siwezi kuzisema zimezungumzwa sana kwenye jukwaa hili.
Tuitoe halafu tukipe nchi chama gani?Ishu ni katiba tu, hivi katiba ikisema ukikutwa na kosa la ufisadi unanyongwa hadharani au kifungo cha maisha na kweli action zikawepo, unafikir watu hawata badirika??
Shida ni systeem iliyopo madarakani ndo hio hio ya upigaji. Tuitoe CCM madarakani mabadiliko yatakuwepo tu. Unafikir kwanini hawataki Katiba mpya?
Maneno ya mlevi sio ya kupuuza hata kidogo.Shida yake ni kwamba yupo tungi!??