dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,404
- 15,985
Nimeona nije kivingine kbsa kuhusu hili la bandari kupewa dp world
Mwanzo nilielewa dhamira ya serekali yako juu ya kuwekeza bandari kwa dp world lkn kutokana na kelele zilizojitokeza na yanayo endelea kusemwa juu ya suala Hilo.
Nimesikiliza mjadala wa bunge na kuwasikiliza baadhi ya watu wasomi Kama prof ,kitila akisisitiza kuwa tusiogope kuwekeza bandari kwa waarabu wa dp world kwamba Ni mkataba mzuri na Ni Jambo jema Sana Hilo .
Lkn ajabu ukimsikiliza lisuu anasema Ni mkataba wa hovyo ambao hawajawai kuona tokea kusaliwa kwake kwamba Ni mkataba mmbovu na wa hovyo yake ,lema anasema yake kuwa Ni jambo jema,askofu pengo naye yake ,mbowe nae anasema yake ,Prof tibaijuka nae anasema yake ,yaani Ni vvurugu tupu tunashindwaa ss wananchi wa namanyere tumsikilize Nani ktk hili Jambo ...napatwa na wasiwasi Sana.
Lisu amefika mbali akasema wew na mbarawa na katibu mkuu uchukuzi mnauza Mali ya watanganyika huku mkiacha bandari yenu ya Zanzibar salama
Hili linatupa hofu Sana, mimi nakushauri achana na huu mpango wako wacha watanzania wafe na umasikini wao fanya mambo mengine hili la bandari kuu litagawa inchi Sana ,na tayari unapingwa Sana mbaya Zaid wote mnaofanya Hilo Jambo ni wanzanzibari
Kama mkapa, kikwete, JPM, Mwinyi hawakuweza kuuza kwanini wewe uangaike na Jambo hili la hatari linalotaka kugawa nchi yetu?
Rasilimali ni za Watanganyika na watanganyika tumeridhika na uendeshaji huu uliopo HV Sasa .Kama kuliwa acha eendelee kuliwa tu kuliko kuwapa hao watu wa dp world . bandarii hii tuliyopewa na mwenyezi mungu Ni heri tubaki HV HV kuliko kuwapa hao watu wanakuja kuleta usultani
Mwanzo nilielewa dhamira ya serekali yako juu ya kuwekeza bandari kwa dp world lkn kutokana na kelele zilizojitokeza na yanayo endelea kusemwa juu ya suala Hilo.
Nimesikiliza mjadala wa bunge na kuwasikiliza baadhi ya watu wasomi Kama prof ,kitila akisisitiza kuwa tusiogope kuwekeza bandari kwa waarabu wa dp world kwamba Ni mkataba mzuri na Ni Jambo jema Sana Hilo .
Lkn ajabu ukimsikiliza lisuu anasema Ni mkataba wa hovyo ambao hawajawai kuona tokea kusaliwa kwake kwamba Ni mkataba mmbovu na wa hovyo yake ,lema anasema yake kuwa Ni jambo jema,askofu pengo naye yake ,mbowe nae anasema yake ,Prof tibaijuka nae anasema yake ,yaani Ni vvurugu tupu tunashindwaa ss wananchi wa namanyere tumsikilize Nani ktk hili Jambo ...napatwa na wasiwasi Sana.
Lisu amefika mbali akasema wew na mbarawa na katibu mkuu uchukuzi mnauza Mali ya watanganyika huku mkiacha bandari yenu ya Zanzibar salama
Hili linatupa hofu Sana, mimi nakushauri achana na huu mpango wako wacha watanzania wafe na umasikini wao fanya mambo mengine hili la bandari kuu litagawa inchi Sana ,na tayari unapingwa Sana mbaya Zaid wote mnaofanya Hilo Jambo ni wanzanzibari
Kama mkapa, kikwete, JPM, Mwinyi hawakuweza kuuza kwanini wewe uangaike na Jambo hili la hatari linalotaka kugawa nchi yetu?
Rasilimali ni za Watanganyika na watanganyika tumeridhika na uendeshaji huu uliopo HV Sasa .Kama kuliwa acha eendelee kuliwa tu kuliko kuwapa hao watu wa dp world . bandarii hii tuliyopewa na mwenyezi mungu Ni heri tubaki HV HV kuliko kuwapa hao watu wanakuja kuleta usultani