BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,046
Nimesikiliza video hii ya mtoto wa kigogo Ngowi inasikitisha sana, inaumiza kuona Watanzania wengi maskini lakini kuna watu wana kontena za hela zimejaa mpaka pesa nyingine hawajui wapi wanazipeleka.
Hii nchi inaliwa na itaendelea kuliwa tusipoamua kuchukua hatua kwa sasa.
Kuna watu wanakula kodi za Watanzania na hawaogopi na hakuna wa kuwachukulia hatua za kisheria.
Basi kama Tanzania tumeridhika na hawa watu?
Hii nchi inaliwa na itaendelea kuliwa tusipoamua kuchukua hatua kwa sasa.
Kuna watu wanakula kodi za Watanzania na hawaogopi na hakuna wa kuwachukulia hatua za kisheria.
Basi kama Tanzania tumeridhika na hawa watu?