Hatima ya Simba ipo kwa wanachama wa Simba. Wahakikishe uchaguzi ujao wanaingiza damu changa kwenye uchaguzi unaokuja. Kama kuna mzee yoyote yule anayependa kuongoza Simba basi wachaguliwe kwenye baraza la wazee, baraza la wadhamini au wabaki washauri tu.