Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,927
- 183,354
Shindii jiandae tu kisaikolojia, hamna namna nyingine.Sidhani 😅
Shindii jiandae tu kisaikolojia, hamna namna nyingine.Sidhani 😅
Hili ni la muhimu sanaaa, nipe hela nikutafutie.Shindii sio kweli, nipate anenipangia tu siku ya kunywa😁😁
Kumbe ww ni chibongeNataka nipungue kidogo
Niwe na msimamo kwenye mateso ya moyoHuna msimamo
Tsiicha meku oko! Tsa mphiri monowama?Ambonyi meku?
Imeisha hiyooo!YANGA BINGWA 💪🔥
Sisi mashabiki wa Arsenal tumevumilia miaka 22Niwe na msimamo kwenye mateso ya moyo
Inashangaza sana.....Simba bado wanaishi enzi za Kaduguda, sifa za kiongozi ni lazima wawe wazee waswahili kushinda wote
Mudi ni mwanasiasa tuKila mwaka anaongea haya haya
Wanatuchanganya sana...
Analalamika na kujigawa halafu anasema tusigawanyike.
Nitarudi simba ikijipata tenaSisi mashabiki wa Arsenal tumevumilia miaka 22
Hapana usidanganyike na mechi ya jana,kocha hakutaka kuwaonesha yanga staili ya uchezaji na yupi ni mchezaji hatariKwa hicho kikosi na ujinga ujinga wenu , na ufisadi, hatuwezi kuwashinda Yanga kamwe 🤔
Yapo mababu majinga majinga kwenye uongozi ,ambayo hayana maono ya mpira wa sasa.
Kwa Simba day hii tu na utambulisho wa wachezaji , mtapigwa nyingi sana takataka nyie .
Kipigo cha hawa wajinga na kutochukua makombe kitadumu kwa miaka mingi .
Simba yangu nguvu moja toka 1995 nipo nanyi , nyakati zote , tujiandae kwa tabu.
Mlisahau kunywa metronidazole
Hamia Yanga kwa muda. Wenye mapenzi ya kweli na Simba tukiishawatengenezea timu, utarudi.Kwa hicho kikosi na ujinga ujinga wenu , na ufisadi, hatuwezi kuwashinda Yanga kamwe 🤔
Yapo mababu majinga majinga kwenye uongozi ,ambayo hayana maono ya mpira wa sasa.
Kwa Simba day hii tu na utambulisho wa wachezaji , mtapigwa nyingi sana takataka nyie .
Kipigo cha hawa wajinga na kutochukua makombe kitadumu kwa miaka mingi .
Simba yangu nguvu moja toka 1995 nipo nanyi , nyakati zote , tujiandae kwa tabu.
Pole mdauKwa hicho kikosi na ujinga ujinga wenu , na ufisadi, hatuwezi kuwashinda Yanga kamwe 🤔
Yapo mababu majinga majinga kwenye uongozi ,ambayo hayana maono ya mpira wa sasa.
Kwa Simba day hii tu na utambulisho wa wachezaji , mtapigwa nyingi sana takataka nyie .
Kipigo cha hawa wajinga na kutochukua makombe kitadumu kwa miaka mingi .
Simba yangu nguvu moja toka 1995 nipo nanyi , nyakati zote , tujiandae kwa tabu.