Kwa hiyo Simba SC striker ni Mpanzu na Doumbia.. aisee kichekesho.. halafu kuna mechi 4 ngumu za CAFCL kama Simba ikifika makundi... mwaka jana na juzi bado yataendelea kuwa na huu mwaka pia....
Ishu siyo Mwalim kama mchezaji ila jinsi tu Simba kama klabu inavyoendesha mambo yake ni wazi mambo yanaenda kitapeli sana,,, yaani jana unamtambulisha mchezaji leo anasainiwa kwingine..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.