Mwaka wa Mbele
JF-Expert Member
- Mar 5, 2026
- 629
- 1,931
Naweza kusema hii ndiyo Simba Day Bora kuwahi kutokea toka lianzishwe hili tamasha, ubunifu wa Msemaji wa Simba SC naweza kusema leo ndiyo Man of The Match, huyu ndo kaifanya Simba Day ipendeze zaidi.
Mwamba atabaki kwenye historia ya soka la Tanzania.
Very creative
Kikosi kipana.
Wamebadilisha karibia kikosi kizima.