babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,147
- 16,070
Hadi akinya si kujamba tu,sijui wamelogwa wapi hawa.Nchi ya ajabu hii, hata mtu akijjamba anamshukuru Samia
Hadi akinya si kujamba tu,sijui wamelogwa wapi hawa.Nchi ya ajabu hii, hata mtu akijjamba anamshukuru Samia
Umeniwahi Mkuu na Mimi kutokana no huu Upuuzi wa hawa Mashabiki wa Vilabu vya Simba na Yanga Kumsifia zaidi Rais Samia badala ya Vilabu vyao / Timu zao naziombea ZIFUNGWE zote hapa hapa Tanzania Ijumaa na Al Ahly na Jumamosi na Mamelodi Sundowns FC.Ngoja tugungwe tumsifie vizuri
Hapo kama namwona Lucas mwashambwa yupo toi kwenye choo cha shimo,akishukuru Samia kila akikweka mzigo.Hadi akinya si kujamba tu,sijui wamelogwa wapi hawa.
Post #2 tu inaonyesha upumbavu wa bàadhi ya Watanzania. Wala usidhani ni ugonjwa, ni uvivu tu wa kufikiri uliopelekea bàadhi ya wajinga kudhani ukimsifia Rais hata Kwa yasiyomhusu utaonekana na kutafutiwa nafasi Fulani. Wengine ni vihela vya vocha tu vinawatoa fahamu.Leo Mashabiki wa Vilabu vya Simba na Yanga wamehojiwa na Wanahabari (Media) na Kilichonishangaza hasa GENTAMYCINE ni kusikia Mashabiki hao wakitumia dakika Tano Kumsifia Rais Samia huku wakitumia Sekunde 30 tu Kuziongelea na Kuzisifia Simba na Yanga.
Hivi ni nani Aliyewaroga sasa baadhi ya Watanzania kiasi cha kuwa hivi?
Mnamsifia Rais Somia kwahiyo yeye ndiyo atawafunga Al Ahly na Mamelodi Sundowns FC Ijumaa na Jumamosi?
GENTAMYCINE naweza nikawa NAKEREKA na hili kumbe ikawa labda kuna aina mpya ya Ugonjwa umewaingia baadhi ya Watanzania hivyo nichukue nafasi hii Kuwaombeni Wadau mnitungie aina hii ya huu Ugonjwa ili nianze Kuutafutia Dawa / Tiba mbadala na Wapuuzi waponyeke.
Senior stupid.You're very STUPID.
Unyumbu ni Tabia ya watu kuahirisha kufikiri kwasababu ya kujipendekeza ,uoga, wa viongozi Wao ama kutumikia kundi fulani kwa masirahi binafsiLeo Mashabiki wa Vilabu vya Simba na Yanga wamehojiwa na Wanahabari (Media) na Kilichonishangaza hasa GENTAMYCINE ni kusikia Mashabiki hao wakitumia dakika Tano Kumsifia Rais Samia huku wakitumia Sekunde 30 tu Kuziongelea na Kuzisifia Simba na Yanga.
Hivi ni nani Aliyewaroga sasa baadhi ya Watanzania kiasi cha kuwa hivi?
Mnamsifia Rais Somia kwahiyo yeye ndiyo atawafunga Al Ahly na Mamelodi Sundowns FC Ijumaa na Jumamosi?
GENTAMYCINE naweza nikawa NAKEREKA na hili kumbe ikawa labda kuna aina mpya ya Ugonjwa umewaingia baadhi ya Watanzania hivyo nichukue nafasi hii Kuwaombeni Wadau mnitungie aina hii ya huu Ugonjwa ili nianze Kuutafutia Dawa / Tiba mbadala na Wapuuzi waponyeke
Tegemea kuyaona upya tena Kesho Ijumaa na Keshokutwa Jumamosi sawa Mkuu?Ile ya mabango ya rais naona wamejishtukia baada ya kuripoti sana sasa hivi wameacha.
Idiot.Kwanza kabisa niseme mama anaupiga mwingi, juhudi zote hizi ni kutokana na jitahada za mama... Haya lete hoja yako sasa
Thank you idiotIdiot.
Huyu Popoma mwenyewe kipindi kile na yeye alikua hata akijamba anamsifia mwendazake, nashangaa leo hii roho inamuuma mama akisifiwa na chawa wake.Kuna zile zama tulisifia kupatwa kwa Jua kuwa kuliletwa na Mkuu Kaya.
Usiwe na shaka Mkuu ni zama tu zinapita.
Inasound vyema ukiisoma kinyerereTabia ya Kimalaya malaya