johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Wakati Rais Magufuli alipofanya ziara na mikutano katika mikoa ya Iringa na Morogoro wabunge wote wa kanda hiyo walishiriki kikamilifu.
Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa hawashiriki.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata Nassari anamuiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni hii tabia bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!
Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa hawashiriki.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata Nassari anamuiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni hii tabia bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!