johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
- Thread starter
- #21
Kama haukuwa uwanja wa siasa mbona alitumwa salamu za Ufipa?!Kwani pale ulikuwa uwanja wa Siasa?
Tupunguze porojo.
Kama haukuwa uwanja wa siasa mbona alitumwa salamu za Ufipa?!Kwani pale ulikuwa uwanja wa Siasa?
Tupunguze porojo.
BungeniUbunge ni uwakilishi usisahau hilo!
Nani kakuambia?......mbona Lowassa tulikuwa naye pale chuo kikuu The Hill!
Mabadiliko yapi hayo?! Sisi wananchi tutachagua ChademaSema wewe utawachagua tena.wananchi wengine wataenda kufanya mabadiliko usiyoyategemea..nikumbushe mwaka 2020. Uzi huu..tuongee tena
Sasa shida ni pale unaenda kupokea rais halafu rais anachukulia kama vile umeenda kumpora kiki!! Lazima aanze kukuuliza maswali ya kebehi na kukudhalilisha bila sababu za msingi,mi naona bora tu wasiendebUbunge ni uwakilishi usisahau hilo!
Amenishangaza hata mimi!Rais aje kwako halafu mwenyeji uhitaji mwaliko? Hii tamaduni ya wapi?
Mlikuwa mnafanya siasa? Afterall Lowasa sio kipimo cha siasa.Nani kakuambia?......mbona Lowassa tulikuwa naye pale chuo kikuu The Hill!
Ndio siasa hiyo jifunzeni kwa mzee Lowassa!Sasa shida ni pale unaenda kupokea rais halafu rais anachukulia kama vile umeenda kumpora kiki!! Lazima aanze kukuuliza maswali ya kebehi na kukudhalilisha bila sababu za msingi,mi naona bora tu wasiendeb
Hahahaa...... Unapowataja wanasiasa mahiri Tanzania huwezi kuwaacha Lowassa na Dr Slaa!Mlikuwa mnafanya siasa? Afterall Lowasa sio kipimo cha siasa.
Hizo siyo siasa mkuu! Mukifanya siasa za kebehi mbunge wa upinzani na rais basi ni hatari sana! Hasa pale rais mwenyewe anapokuwa kama magufuli! Huyo mbunge atalazimika kufanyiwa sala ya toba kabla hajashuka jukwaani!Ndio siasa hiyo jifunzeni kwa mzee Lowassa!
Haipo kikatibaWakati Rais Magufuli alipofanya ziara na mikutano katika mikoa ya Iringa na Morogoro wabunge wote wa kanda hiyo walishiriki kikamilifu. Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa vichwa maji sana.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata haka kanassari kanamuigaiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni ujinga bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!
Alikuja Kwa swala la Kisiasa au Kitaaluma?Nani kakuambia?......mbona Lowassa tulikuwa naye pale chuo kikuu The Hill!
Thanx kwa kuthibitisha.....Kama haukuwa uwanja wa siasa mbona alitumwa salamu za Ufipa?!