What's so special na hyo ya jiwe kwa asiyehudhuria.Mwanasiasa kuogopa kudhalilishwa ni upumbavu......mbona Lowassa mlimdhalilisha sana lakini leo ndio anaongoza vikao vyenu vya kamati kuu?!!.....acha upumbavu kamanda!
Tabia ya kuwa dhalisha viongozi wa upinzani majukaani ina wafanaya wakae kandoWakati Rais Magufuli alipofanya ziara na mikutano katika mikoa ya Iringa na Morogoro wabunge wote wa kanda hiyo walishiriki kikamilifu.
Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa hawashiriki.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata Nassari anamuiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni hii tabia bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!
Usiwe kama mpigadebe wa gari bovu! Hivi unajua kuwa kuna kualikana katika mikutano ya rais? Kama mkuu wa mkoa au wilaya hakumwalika huyo mbunge atajipelekaje? Yaani mbunge anaonyeshwa dharau tangu mwanzo kisha ajitoe ufahamu akahudhurie ili akadhalilishwe kama Heche huku miradi ya maendeleo ikinyimwa pesa kwa sababu za kuongozwa na upinzani!Ubunge ni uwakilishi usisahau hilo!
Utaisha atakapoacha kuwababikiza kesi. Jaribu kutumia akili ya kuzaliwa, unajua kila jamaa akikuona anapandwa na shetani, utafanya mazoea ya kumfuata fuata? Labda uwe umechoka kuishi uraiani.Wakati Rais Magufuli alipofanya ziara na mikutano katika mikoa ya Iringa na Morogoro wabunge wote wa kanda hiyo walishiriki kikamilifu.
Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa hawashiriki.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata Nassari anamuiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni hii tabia bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!
Unajua maana ya siasa mkuu?!!Alikuja Kwa swala la Kisiasa au Kitaaluma?
Wewe ni mbunge?!Hata mi nisingeenda.
Wabunge wa chadema waoga sana!Hizo siyo siasa mkuu! Mukifanya siasa za kebehi mbunge wa upinzani na rais basi ni hatari sana! Hasa pale rais mwenyewe anapokuwa kama magufuli! Huyo mbunge atalazimika kufanyiwa sala ya toba kabla hajashuka jukwaani!
Hii ni mikutano ya maendeleo au ya kampeni?Wakati Rais Magufuli alipofanya ziara na mikutano katika mikoa ya Iringa na Morogoro wabunge wote wa kanda hiyo walishiriki kikamilifu.
Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa hawashiriki.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata Nassari anamuiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni hii tabia bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!
Sijui mkoje nyie msio na kumbukumbu. Ni nyie mliosema siasa zimehamia bungeni sasa huko kwenye mikutano ya ccm wabunge wa upinzani wafuate nini?Ubunge ni uwakilishi usisahau hilo!
Hukumbuki aliyesema!?Nani kakuambia?......mbona Lowassa tulikuwa naye pale chuo kikuu The Hill!
Itaisha huyo jiwe akiweza kucontrol mdomo wakeWakati Rais Magufuli alipofanya ziara na mikutano katika mikoa ya Iringa na Morogoro wabunge wote wa kanda hiyo walishiriki kikamilifu.
Miongoni mwao ni Rev Msigwa, Prof J, Suzan Kiwanga, Lijualikali na yule Devotha Minja walihudhuria lakini wabunge wa kaskazini hasa Arusha wamekuwa hawashiriki.
Rais anaongea na wananchi jimboni kwako wewe mbunge haupo maana yake ni nini?!.......hata Nassari anamuiga Lema bila kutafakari kwa kina.
Acheni hii tabia bhana kama vipi mjiuzulu tuchague wawakilishi sahihi!