aisee inatisha sanaNa Mimi nasikia hivyo wachaga wa machame wana mchezo huo hata mwenyewe wanajuana kuna wachaga niliwauliza kuhusiana na hilo wakakataa wakasema" wamachame ndo wanamambo hayo lakini sisi wakibosho hakuna ujinga huo"
Nipo uchagani muda mrefu unachokisema nakiona kabisaWacha wabaguliwe maana na wao ni wabaguzi wakubwa
kwa kuwa wamekuzidi mbinu na maarifa ni vizuri utafute huko unakoendana nako..Muhaya, mmachame, mrangi, mpare, mwanamke wa Tanga. Wala sitothubutu kuoa. Hawa wengine ni wa kuoana wao kwa wao.
Dada zetu wa kichagga hawapelekwi pelekwi kama mizigo isiyo na wenyewe ..Ukitaka kuwa na ndoa Ngumu basi oa Mchaga!!!
Weka huo ushahidi kama wewe unao.Hata mimi niliogopa kuoa mwanamke wa kichaga kwa sababu hizohizo ndugu usikatae kwani lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, usidharau maneno yanayozungumzwa na wenzako huenda wana ushahidi suala sio ukabila cha msingi tabia ya asili waliyonayo ndugu zetu wanawake wa huko ni hizohizo zakudondosha waume zao baada ya chumo la mali kupatikana kwenye familia.
ushahidi wa nini wakat mambo na matendo yapo wazi, nahisi hata wewe ndugu zako yamewapata matendo hayo nasemea wanawake wakutokea Umachameni ni wabaya wa tabia ndio maana walibatizwa jina la WAPALESTINA kwa tabia zakukosa utu wa kibinadamu wao na mali ndo mungu wao khaaaa hawafai mwanzoni mtapendana sana na tena wana sura nzuri lakini mioyo yao ni hatari, asilimia kubwa wanaoana wao kwa wao hakuna mchaga wakutoka Rombo au Marangu akamuoa mwanamke wakimachame NEVER kama wapo wakuhesabu na wanaishi nao kwa tahadhari kubwa mimi nimeishi huko nawajua...Weka huo ushahidi kama wewe unao.
Dada zetu wa kichagga hawapelekwi pelekwi kama mizigo isiyo na wenyewe ..
AsanteeeeMti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe.
Wewe nani kasema Ufo saro,wewe?Habari za mchana wanajamvi,
Kuna hiki kitu binafsi mimi sikipendi japo bado kimekuwa kigumu kutoka kwenye baadhi ya vichwa vya watu.Wiki moja iliyopita jamaa yangu ambaye ni mwenyeji wa mkoa wa Mbeya alitembelewa na binti nyumbani kwao,jamaa akaona isiwe shida ikabidi amtambulishe kwa wanafamilia kama mchumba wake mtarajiwa,cha ajabu baadhi ya ndugu wa mwanaume wakauliza huyo msichana ni kabila gani, jamaa akawajibu ni mchaga wa machame, basi wote wakakaa kimya.
Yule binti alipoondoka tu maneno yakaanza mara oooh ndugu yetu sisi hatutaki uoe mwanamke kutoka uchagani aidha machame,au mpare na makabila yote ya mkoa wa Kilimanjaro,ukawa mjadala mrefu jamaa akaanza kubishana kwamba anaoa anayejisikia yeye ukawa ugomvi mkubwa sana na ndugu wa mwanaume wakaanza wakamwambia likimpata la kumpata asiwashirikishe kwani wao wanajua tabia za makabila haya.
Jamani hii tabia itaisha lini kwani makabila haya yana nini kibaya mpaka kunakuwa na ubaguzi wa aina hii.
Maoni yenu wakuu
pointlessLabda Makabila hayo yanaidadi kubwa ya wajane. ndiyo maana hawataki huyo mke mtarajiwa aje kuwa mjane hapo baadaye.
Sasa Kama hujui tabia za wamachame au wachaga unalalamika nn?? Wenzio wanazjua!! Ubaguz utaisha had waache hizo tabia zaoHabari za mchana wanajamvi,
Kuna hiki kitu binafsi mimi sikipendi japo bado kimekuwa kigumu kutoka kwenye baadhi ya vichwa vya watu.Wiki moja iliyopita jamaa yangu ambaye ni mwenyeji wa mkoa wa Mbeya alitembelewa na binti nyumbani kwao,jamaa akaona isiwe shida ikabidi amtambulishe kwa wanafamilia kama mchumba wake mtarajiwa,cha ajabu baadhi ya ndugu wa mwanaume wakauliza huyo msichana ni kabila gani, jamaa akawajibu ni mchaga wa machame, basi wote wakakaa kimya.
Yule binti alipoondoka tu maneno yakaanza mara oooh ndugu yetu sisi hatutaki uoe mwanamke kutoka uchagani aidha machame,au mpare na makabila yote ya mkoa wa Kilimanjaro,ukawa mjadala mrefu jamaa akaanza kubishana kwamba anaoa anayejisikia yeye ukawa ugomvi mkubwa sana na ndugu wa mwanaume wakaanza wakamwambia likimpata la kumpata asiwashirikishe kwani wao wanajua tabia za makabila haya.
Jamani hii tabia itaisha lini kwani makabila haya yana nini kibaya mpaka kunakuwa na ubaguzi wa aina hii.
Maoni yenu wakuu
Kumtafsiri mtu kwa kundi analotokea ni kushindwa kujua tabia halisi ya muhusika... HIYO KITU INAITWA STERIOTYPINGHabari za mchana wanajamvi,
Kuna hiki kitu binafsi mimi sikipendi japo bado kimekuwa kigumu kutoka kwenye baadhi ya vichwa vya watu.Wiki moja iliyopita jamaa yangu ambaye ni mwenyeji wa mkoa wa Mbeya alitembelewa na binti nyumbani kwao,jamaa akaona isiwe shida ikabidi amtambulishe kwa wanafamilia kama mchumba wake mtarajiwa,cha ajabu baadhi ya ndugu wa mwanaume wakauliza huyo msichana ni kabila gani, jamaa akawajibu ni mchaga wa machame, basi wote wakakaa kimya.
Yule binti alipoondoka tu maneno yakaanza mara oooh ndugu yetu sisi hatutaki uoe mwanamke kutoka uchagani aidha machame,au mpare na makabila yote ya mkoa wa Kilimanjaro,ukawa mjadala mrefu jamaa akaanza kubishana kwamba anaoa anayejisikia yeye ukawa ugomvi mkubwa sana na ndugu wa mwanaume wakaanza wakamwambia likimpata la kumpata asiwashirikishe kwani wao wanajua tabia za makabila haya.
Jamani hii tabia itaisha lini kwani makabila haya yana nini kibaya mpaka kunakuwa na ubaguzi wa aina hii.
Maoni yenu wakuu
Nyie ndowalewale? Tabia ni ya mtu mwenyewe na sio kabila sasa wewe endekeza ukabila wenzako wanapata vitu vyamotooSasa Kama hujui tabia za wamachame au wachaga unalalamika nn?? Wenzio wanazjua!! Ubaguz utaisha had waache hizo tabia zao