Hii tabia sio kabisa wadau

Hii tabia sio kabisa wadau

Proffesor

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2014
Posts
2,170
Reaction score
3,019
Proffesor anasema. .... Unamwalika msichana ( ndo na mfukuzia ) anakuja na wenzake wa tatu jumla wanakuwa wa nne sio kabisa wadau. . Jana nimemwalika msichana mmoja ambaye na mfukuzia for dinner. . Duhhhhh si wakaja wa 4 dahhh kidogo niabike isingekuwa hiz M-pesa nngeaibika hiyo jana.. hii tabia kwa wasichana sio kabisa aiseeee. . Ikumbukwe mtu unakuwa na bajet ya 1siku hiyo ..
 
Ndo matokeo ya kufukuzia makahaba na mapunguani yanayowaza kuchuna. Mbona wadada wa ukweli waliolelewa kwa maadili wapo japo ni wachache lakini kama una nia nzuri utawapata tu.
 
inategemea imeingia na gia gani kwa uyo manzi.km ulijifanya una chapaa lazma wakukamue.chezea mabint w mjini wewe?utaumia bure acha ubishoo
 
Proffesor anasema. .... Unamwalika msichana ( ndo na mfukuzia ) anakuja na wenzake wa tatu jumla wanakuwa wa nne sio kabisa wadau. . Jana nimemwalika msichana mmoja ambaye na mfukuzia for dinner. . Duhhhhh si wakaja wa 4 dahhh kidogo niabike isingekuwa hiz M-pesa nngeaibika hiyo jana.. hii tabia kwa wasichana sio kabisa aiseeee. . Ikumbukwe mtu unakuwa na bajet ya 1siku hiyo ..
kama yupo humu nadhani atakuwa amekuelewa!
 
Unafukuzia mashankupe ya mjini unategemea nin?
 
Back
Top Bottom