Hii tabia inanikera sana

Kwa sisi wa Rc hawaruhusu hayo mambo..tena siku hizi umakutana na bango "simu haziruhusiwi ibadani"
 
Usikereke mkuu tunakimbizana na teknolojia, mimi ni mmojawapo hapa umenigusa lakini sijaona shida ilipo huwa naweka flight mode chochote hakileti distraction.

Na nikiri nimekuwa msaada sana kwani naokoa mda sana pale tukiambiwa funua wakorintho 6, fasta wakati wengine wanahangaika na hardcopy, kamwe sijawahi kumkera mtu au simu ikawa kikwazo ibadani.
Why usitumie hard copy?
 
Biashara bila matangazo konki hailipi. Hayo the so called makanisani ya kiroho ni taasisi binafsi za kujipatia ulaji. Japo hata makanisa mama kama RC na Lutheran siku hizi yamekuwa vituo vya kukusanya mapato na kutoa vitisho kwa wasiofuata taratibu za kanisa.
 
mimi nakereka zaidi
unakuta wakati wa neno mtu anatoa simu anafungua biblia ya kwenye simu au wakati wa sifa anafungua tenzi kwenye simu,aisee napataga hasira sana
kuna ugumu gani wa kununua tu biblia yako na kwenda kanisani na ajabu kubwa ni kua imekua kama jambo la kawaida tu mashemasi wala wazee wa kanisa hawakatazi jambo ili,..
so sad
Mi hi huwa natumia Sana kwenye jumuiya...inanifanya nafatilia kwa umakini Sana.
 
Barikiwa
Usikereke mkuu tunakimbizana na teknolojia, mimi ni mmojawapo hapa umenigusa lakini sijaona shida ilipo huwa naweka flight mode chochote hakileti distraction.

Na nikiri nimekuwa msaada sana kwani naokoa mda sana pale tukiambiwa funua wakorintho 6, fasta wakati wengine wanahangaika na hardcopy, kamwe sijawahi kumkera mtu au simu ikawa kikwazo ibadani.
 
mimi nakereka zaidi
unakuta wakati wa neno mtu anatoa simu anafungua biblia ya kwenye simu au wakati wa sifa anafungua tenzi kwenye simu,aisee napataga hasira sana
kuna ugumu gani wa kununua tu biblia yako na kwenda kanisani na ajabu kubwa ni kua imekua kama jambo la kawaida tu mashemasi wala wazee wa kanisa hawakatazi jambo ili,..
so sad
Hapo sasa na mm hiwa na kereka balaa watu an hawaheshmu ibada
 
Hahahaaa, "makanisa ya kisasa"! Siyo kwamba nadharau madhehebu ya wengine la! Halafu si ndiyo hayo yanajiita pia "makanisa ya kiroho"? Wacha tu nibaki huku huku niliko bwan, nimeridhika.
 
Muda wenyewe tunaokaa kanisani hauzidi masaa saa nne kwanini usizime, mwengine anakwambia anatumia kwa ajili ya kusoma biblia wakati kusoma hard-copy ni vizuri zaidi, naona soft copy imewekwa uitumie kama uko safarini au lunch time kama uko kazini. Tabia nyengine inayonikera ni kunywa soda na maji mtu akiwa kanisani, wengine wanakula mpaka chakula, kutafuna bigi jii, kusoma magazeti wakati ibada inaendelea. Mungu atuhurumie....
 
mimi nakereka zaidi
unakuta wakati wa neno mtu anatoa simu anafungua biblia ya kwenye simu au wakati wa sifa anafungua tenzi kwenye simu,aisee napataga hasira sana
kuna ugumu gani wa kununua tu biblia yako na kwenda kanisani na ajabu kubwa ni kua imekua kama jambo la kawaida tu mashemasi wala wazee wa kanisa hawakatazi jambo ili,..
so sad
Kwanini wakataze mkuu,au zile sio Biblia au sio Tenzi?najua una hoja hebu iweke wazi tukuelewe...
 
Back
Top Bottom