presider
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,027
- 1,273
Kuna tabia imeshamiri sana makanisani siku hizi, hasa haya makanisa ya 'kisasa'. Tabia ya matumizi ya simu nyakati za Ibada. It's either wakati wa sifa, kuabudu au hata neno unakuta vijana kwa wazee wamekazana na simu zao kurecord na wakati mwingine kuingia 'live' kwenye social networks.
Najiuliza tunaenda kanisani kuzungumza na Mungu au kuwaonesha watu kuwa huwa tunaenda kanisani?
Ni Mungu yupi huyo tunaemwendea kwa kuwa busy na smartphones zetu nyakati za kuzungumza nae? Mbona haya mambo hatuyaoni kwa Waislamu? Au wao hawana smartphones? Mbona makanisa kama Catholic, Lutheran na yanayofanana na hayo hatuyaoni hayo mambo? Au wao wakiingia kanisani wanaacha simu mlangoni?
Kuna haja kubwa sana hili suala kupigiwa kelele hasa na viongozi wa makanisa hayo, kiukweli tunamkosea sana Mungu na linakera sana.
NDUGU ZANGU WAKRISTO TUSIRUHUSU UTANDAWAZI KUTUWEKA MBALI NA MUNGU WETU...
Najiuliza tunaenda kanisani kuzungumza na Mungu au kuwaonesha watu kuwa huwa tunaenda kanisani?
Ni Mungu yupi huyo tunaemwendea kwa kuwa busy na smartphones zetu nyakati za kuzungumza nae? Mbona haya mambo hatuyaoni kwa Waislamu? Au wao hawana smartphones? Mbona makanisa kama Catholic, Lutheran na yanayofanana na hayo hatuyaoni hayo mambo? Au wao wakiingia kanisani wanaacha simu mlangoni?
Kuna haja kubwa sana hili suala kupigiwa kelele hasa na viongozi wa makanisa hayo, kiukweli tunamkosea sana Mungu na linakera sana.
NDUGU ZANGU WAKRISTO TUSIRUHUSU UTANDAWAZI KUTUWEKA MBALI NA MUNGU WETU...