saudari
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 2,655
- 2,779
Nimekuta sms hii iliyoandikwa na Polisi kwenye simu ya mpenzi wangu.
Unajua nakuthamini zaidi ya MSHAHARA, bila wewe siwezi kuishi ni sawa na kukosa BUNDUKI eneo la tukio,
nitakuheshimu kama ninavyoliheshimu LINDO, wewe ndio IGP wa moyo wangu, daima nitakuweka mbele kama
LIGHT MAKER kwenye gwaride, mbona uko kimya nijibu basi nipate kufungua JADALA ndani ya moyo wako.
Usinifante moyo ukaenda mbio kama DEFENDER MPYA, nitakuweka salama kama msafara wa RAIS, nina RB ya
penzi lako usiniweke ROHO juu juu kama yanavyoniweka maandamano ya CHADEMA.
Huyu Polisi anamsumbua sana mpenzi wangu.
Je nifanyajeeeeee???????
Unajua nakuthamini zaidi ya MSHAHARA, bila wewe siwezi kuishi ni sawa na kukosa BUNDUKI eneo la tukio,
nitakuheshimu kama ninavyoliheshimu LINDO, wewe ndio IGP wa moyo wangu, daima nitakuweka mbele kama
LIGHT MAKER kwenye gwaride, mbona uko kimya nijibu basi nipate kufungua JADALA ndani ya moyo wako.
Usinifante moyo ukaenda mbio kama DEFENDER MPYA, nitakuweka salama kama msafara wa RAIS, nina RB ya
penzi lako usiniweke ROHO juu juu kama yanavyoniweka maandamano ya CHADEMA.
Huyu Polisi anamsumbua sana mpenzi wangu.
Je nifanyajeeeeee???????