Hii sio haki

Watakua wale wa magroup ya malaya huko insta, ilishanikutaga hii, Niligoma kutuma elf tano akachukua picha yangu akaipiga bonge la bandiko "MALAYA WA INSTA'' kaniambia nisipotuma hiyo 5k anaipost huko insta, Mbona niliomba pooo!
Ndio mkomage kuokoteza malaya...lol😂
 
Hii ndio hoja ya msingi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…