Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Kama yupo humu si umwambie basi mchezo uishee....siyo unatulisha upepo tuu hapa kwa buku jero ooopsss ni 4800...Ze heli mimi simjui na sijamupa hela yangu. Mm nataka hela yangu
Kama yupo humu si umwambie basi mchezo uishee....siyo unatulisha upepo tuu hapa kwa buku jero ooopsss ni 4800...Ze heli mimi simjui na sijamupa hela yangu. Mm nataka hela yangu
Cheeeiiiii dyadyaaa uwe unachagua wa kukutumia nauli sio kwa uzaliLishaji huu...4800 ata hujazi mafuta kile ki ist chakoNjaa kali lakini bado sijafika viwango vya kimataifa aseeee
Nipe namba ya simu nikutumie nauli
Haya kumekucha, mbona mie situmiwi nauli hivi nakwama wapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hata petrol robo sipati jomoniiiii...cheeeiii....kwakweli hapana huu uzalilishaji kabisaa daaah!!!!Cheeeiiiii dyadyaaa uwe unachagua wa kukutumia nauli sio kwa uzaliLishaji huu...4800 ata hujazi mafuta kile ki ist chako
Lita moja na nusu hio...IST hapo inatoka tabata hadi mjini na kurudiCheeeiiiii dyadyaaa uwe unachagua wa kukutumia nauli sio kwa uzaliLishaji huu...4800 ata hujazi mafuta kile ki ist chako
Acha utani....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hata petrol robo sipati jomoniiiii...cheeeiii....kwakweli hapana huu uzalilishaji kabisaa daaah!!!!
Mwenza umezidi naww chaaa🤣🤣🤣🤣🤣tatizo unajitanda sanaa me nlikuambia uvae kimini hutaki...unaona watu wanatumiwa buku wewe hata mia hupewi🤣🤣🤣
Haya kumekucha, mbona mie situmiwi nauli hivi nakwama wapi
Anaesema hio 4,800 ndogo amrudishie mstaafu thread ifungwe.Inawezekana 4,800 Ya Mstaafu ikaonekana ndogo kwa maana vipato vyetu vinatofautiana, Ila tuachane na hcho kiasi tuzungumzie comitment ya huyo dada kwa Mstaafu. Kama mtu mmewasiliana na mkahama na server juu mkafikia makubaliano yenu nje ya Jf Halafu ghafla unakiuka makubaliano na kumpa block Juu huo sio Uungwana hata kidogo.
Kwa maana ilikua ni kias cha kumtaarifu tu nmeshindwa kuja kwa sababu fulan then maisha yaendlee, Why mtu aanike mawasiliano yenu humu Jukwan kwa gharama ya Tsh 4,800?
....wa nini boss???Acha utani....
Yes Very True Mkuu.Anaesema hio 4,800 ndogo amrudishie mstaafu thread ifungwe.
4,800 hupati robo lita ya petrol?....wa nini boss???
Kama yupo humu si umwambie basi mchezo uishee....siyo unatulisha upepo tuu hapa kwa buku jero ooopsss ni 4800...
😂😂😂hata bei najua basiii🙈🙈4,800 hupati robo lita ya petrol?
Brazaaaaaa😂😂😂😂
Pole sana mkuu,inamana hujui kwenye kubet kama kuna kula na kuliwa??
Sasa wewe umeliwa mkuu
Usawa huu wa anko magu kubwa hiyo mkuuMwanaume mzima unaanzisha thread ya kumdai mwananmke TZS4,800?
Mimi najitolea kurudisha hio 4,800/- kwa sharti moja. Nipe namba yake niendelee hapo ulipoishia.Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.
Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.
UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.
Pipoooooooozi
Sasa mwenza na hizi spoku nikivaa kimini si tutatafutana mjini hapaMwenza umezidi naww chaaatatizo unajitanda sanaa me nlikuambia uvae kimini hutaki...unaona watu wanatumiwa buku wewe hata mia hupewi
Ndio shida ya gari za kuhongwa...hadi mafuta unawekewa!🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️😂😂😂hata bei najua basiii🙈🙈