kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
- Thread starter
- #81
Mimi najitolea kurudisha hio 4,800/- kwa sharti moja. Nipe namba yake niendelee hapo ulipoishia.
Sawa njoo piemu
Mimi najitolea kurudisha hio 4,800/- kwa sharti moja. Nipe namba yake niendelee hapo ulipoishia.
hata bei najua basiii
Ila nanyi muache gubu chaaaah!!Inawezekana 4,800 Ya Mstaafu ikaonekana ndogo kwa maana vipato vyetu vinatofautiana, Ila tuachane na hcho kiasi tuzungumzie comitment ya huyo dada kwa Mstaafu. Kama mtu mmewasiliana na mkahama na server juu mkafikia makubaliano yenu nje ya Jf Halafu ghafla unakiuka makubaliano na kumpa block Juu huo sio Uungwana hata kidogo.
Kwa maana ilikua ni kias cha kumtaarifu tu nmeshindwa kuja kwa sababu fulan then maisha yaendlee, Why mtu aanike mawasiliano yenu humu Jukwan kwa gharama ya Tsh 4,800?
4800?????what da' hellllll....chæiiii
Tuma PM kwanguSawa njoo piemu
Haya ndio mambo yanayo sababisha tukitongoza humu ndani tunakataliwa wallah...tehBrazaaaaaa
,mkuu umekazaMm najua huyu hawez kububali achafuke naona amenitxt whatsapp sasa nasema hivi. Pesa irudi na riba ya 50 pasenti la sivyo nakuanika
hata bei najua basiii
🤣🤣🤣nihonge wewe basi kama ni rahisi hivyo...lolNdio shida ya gari za kuhongwa...hadi mafuta unawekewa!🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Najua sio rahisi na siwezi...heshima kwake aliehonga🤣🤣🤣nihonge wewe basi kama ni rahisi hivyo...lol
Na mafuta ya bebi kea tuu jomoniii🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenza sie tunajua ya mafuta ya taa tu
Ha ha ha ha ha sasa hapo Gubu liko wapi wakat shida ni uaminifu tuIla nanyi muache gubu chaaaah!!
Ameshaliwa,anakuwa mgumu tu kukubali matokeoSo kaliwa
Em hukoo...na sura yangu hii ya wasira anihonge nani mimi...duuuh!!!!😂😂😂Najua sio rahisi na siwezi...heshima kwake aliehonga
Ndio tabu za guta jomoniii 😂😂😂😂😂😂
chura hio...sura hata mbuzi anayoEm hukoo...na sura yangu hii ya wasira anihonge nani mimi...duuuh!!!!😂😂😂
Mimi mnoooo wifiii😂😂😂😂😂😂
Nilikumiss sana