Hii sio haki

Hii sio haki

Bro umepigwa kifala sana,usingefanya muamala ungemwambia akakope kama ni sacos au vikoba ukishamaliza ulilomuitia akupe bill yako.
 
Bro umepigwa kifala sana,usingefanya muamala ungemwambia akakope kama ni sacos au vikoba ukishamaliza ulilomuitia akupe bill yako.

Mm najua huyu hawez kububali achafuke naona amenitxt whatsapp sasa nasema hivi. Pesa irudi na riba ya 50 pasenti la sivyo nakuanika
 
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.

Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.
Mkuu, mbona wengi tulusha umizwa na hata sisi tulisha waumiza...!!
Unadhani kila mmoja akisema aweke ya PM hapa hadharani, nani atabaki salama...??
Ebu kuwa na kifua chief, nivyema ukapuuza na samehe kwani huo mtonyo ulio mtumia bidada hauwezi ukamaliza shida zako.
Nakushauri achana na hizi mambo na jikite kwenye kutafuta pesa.
 
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.

Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.

UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.

Pipoooooooozi
nimecheka sana
 
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.

Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.

UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.

Pipoooooooozi
Safi sana matapeli wamekua wengi sana hasa wanawake we tema pesa ya watu
 
Back
Top Bottom