Hii sio haki

Hii sio haki

rudisha hela ya watu usije aibika jamaniii, hela nyingi sana hiyo toka jana sijaipata ka hiyo
 
Ha ha ha kweli vyuma hatari unadai pesa ndogo hivyo mwanaume....Mungu panua mipaka yangu na bariki kazi za mikono yangu niniepushe na balaa kama hili.sharp
 
Ze heli mimi simjui na sijamupa hela yangu. Mm nataka hela yangu
kwani alitaka umpe milioniiiii? hela hela lengo ilikuwa nauli, tena inatosha na nauli, maana toka maji matitu mpaka tabata haizidi buku 3000
 
Back
Top Bottom