The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 35,581
- 108,588
Ila ilitoka kirahisi!Hela yangu haiendi kirahisi hivyo
Ila ilitoka kirahisi!Hela yangu haiendi kirahisi hivyo
Unafiki wa aje🙄me sikujua kama unaendana na huyo...walahi Rrondo ningekuomba nauli...potelea poteUmeanza lini unafiki?
Hahaha unasogea tu..ukifika kibaha uniamb ieInawezekana eti..



Hatariii fayaaa🤣🤣🤣🤣🤣nnunulie crown tuuNitakuwepo nashuhudia ushindi![]()
Bora,tukaahirisha,biashara.Bola angesema haitoshi akairudisha tukaairisha byashala
Basi nakwambia kabisaa sasa kesho ntakuwa visiga...nipitie???😎Hahaha unasogea tu..ukifika kibaha uniamb ie![]()
Huwa unapita njia ipi, Hii ya kuingilia kingstone au ile nyingine?Inawezekana eti..
HahaahahaBasi nakwambia kabisaa sasa kesho ntakuwa visiga...nipitie???![]()
Ile ya miaka yote..Huwa unapita njia ipi, Hii ya kuingilia kingstone au ile nyingine?
Huenda Mungu ameamua kukuepusha na janga fulani,usipende kulazimisha mambo,kua makini sana usije ukajilaumu wakati ambao itakua ni too late!Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne.
Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.
Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.
UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.
Pipoooooooozi
Japo unacompetition kubwa SanaHatariii fayaaannunulie crown tuu


angalau 20,000/-Kila mbuzi huru kwa kadri ya urefu wa kamba yake
Okey kwahyo wewe ulitaka nauli atumiwe kias gan? and why asimwambie ukwel kwamba kwa hii nauli siwez kujaLabda alijiongeza kuona kama nauli tu nimetumiwa hii hali itakuwaje?
Na kweli aliona mbali si unaona sasa!!
😂😂😂😂😂😂Japo unacompetition kubwa Sana
Kuna watu wachache wanakuzidi kete kwenye kuwahi siti
![]()
Ndio maana hakuja wenzako tunatuma elfu 30 au 40 au 50 inategemea na status yake
Sasa we we elfu 4800