Hii sio haki

Hii sio haki

Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne.

Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.

Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.

UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.

Pipoooooooozi
Huenda Mungu ameamua kukuepusha na janga fulani,usipende kulazimisha mambo,kua makini sana usije ukajilaumu wakati ambao itakua ni too late!
 
Labda alijiongeza kuona kama nauli tu nimetumiwa hii hali itakuwaje?
Na kweli aliona mbali si unaona sasa!!
Okey kwahyo wewe ulitaka nauli atumiwe kias gan? and why asimwambie ukwel kwamba kwa hii nauli siwez kuja
 
hahha potezea, mbona kipindi mnafatana chemba huku tushirikisha...wanaume wa dar mnatia aibu,kutuma nauli buku 4800 unatangazia umaa wote, watu tuko mkoani tunatuma ya ndege na hawajii tunakausha.jua hiyo nikama umebetii bro...kausha kiume
 
Ila at least angetuma hata elfu 20 au 15 bei ya mwisho kabisa.
Sasa buku NNE na mia nane hapo si anajua kabisa anaenda kukopwa uchi
Ndio maana hakuja wenzako tunatuma elfu 30 au 40 au 50 inategemea na status yake
Sasa we we elfu 4800
 
Back
Top Bottom