Hii Shule ni Nzuri sana! Nimeipenda

Hii Shule ni Nzuri sana! Nimeipenda

Kweli wewe msanii. Kwanza unasema ulikuwa unapita tu on the way to Chemka ukaiona shule. Then unamalizia kwa kutuambia mdogo wako amepata shule nzuri (bila shaka ulimpeleka hapo). Wanasema ukiwa muongo uwe na kumbukumbu, Salaaale.
 
Kweli wewe msanii. Kwanza unasema ulikuwa unapita tu on the way to Chemka ukaiona shule. Then unamalizia kwa kutuambia mdogo wako amepata shule nzuri (bila shaka ulimpeleka hapo). Wanasema ukiwa muongo uwe na kumbukumbu, Salaaale.

teh teh teh, watu wanajua kufanya business.
 
Nenda jukwaa la matangazo upeleke bandiko lako,hapa sio sehem ya matangazo weewee
 
''pia ni shule (naamini) yenye wanafunzi wenye uwezo mkubwa katika kuimba na kuabudu''

Unaamanisha?
 
Maeneo ya shule siyo mazuri sana, ni changa! ila utashi na uwezo wa wanafunzi ndiyo ulitufurahisha sana, wana nidhamu ya hali ya juu na ukarimu uliotukuka.

Tuliyajua haya baada ya kusema na wachache, pia ni shule (naamini) yenye wanafunzi wenye uwezo mkubwa katika kuimba na kuabudu kuliko shule yeyote ile kwa Mkoa huu wa Kilimanjaro.

Ahaa, itakuwa ndo shule Mama Mchungaji Evelyn Salt anafundisha.

Ila jamaa tangazo lako nimelipenda aisee.
 
Ni ya kutwa au bweni? Wakuu mwenye taarifa ya maendeleo ya St Marks Secondary School iliyoko kongowe kilwa road
 
Back
Top Bottom