Hii Shule ni Nzuri sana! Nimeipenda

Hii Shule ni Nzuri sana! Nimeipenda

Hao watoto ni wajuzi wa nyimbo za kusifu na kuabudu KASWIDA au MAPAMBIO?
 
Tangazo lako lime eleweka, lakini ada hujatujuza..
 
Yapo mashule mengi sana yanayoibukia huko Moshi, mashule ya kisasa na yenge mandhari, majengo, walimu na uongozi bora sana. Mfano wake ni shule ya Mtakatifu Amedeus iliyopo Kilema Moshi. Inamilikiwa na Jimbo Katoliki Moshi. Zipo shule nyingi tu mpya zinazoibukia huko hasa za masista ndio nyingi hivyo mabinti wetu waweza kupata elimu ya viwango pamoja na maadili mema. Thanks to God for the Church, our benefactors and the local people!
 
Tangazo lako lime eleweka, lakini ada hujatujuza..

Mkuu Ada yao ni rahisi sana, nimeambiwa nitalipa 700,000 term ya kwanza then 300,000 term ya pili.
ni cheap sana compare na hizo shule za masista..
 
Yapo mashule mengi sana yanayoibukia huko Moshi, mashule ya kisasa na yenge mandhari, majengo, walimu na uongozi bora sana. Mfano wake ni shule ya Mtakatifu Amedeus iliyopo Kilema Moshi. Inamilikiwa na Jimbo Katoliki Moshi. Zipo shule nyingi tu mpya zinazoibukia huko hasa za masista ndio nyingi hivyo mabinti wetu waweza kupata elimu ya viwango pamoja na maadili mema. Thanks to God for the Church, our benefactors and the local people!

ni kweli mkuu..
 
tangazo limeeleweka
nkipata Mtoto Labda
 
Back
Top Bottom