Hii Serikali nimeikubali. Nchimbi tu ndo haiwezi hii kasi ya wenzie

Hii Serikali nimeikubali. Nchimbi tu ndo haiwezi hii kasi ya wenzie

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Ukikoswa koswa kuchambwa na samia unaangukia kwa mwigulu. Huyu anachamba balaa kama dada yake tu. Naona anayetia Doa ni Nchimbi huyu naona anaongea kwa utulivu mkubwa sana

Samia ni kiboko kwa kuchamba anakuchamba mpaka unakufa. Ukija Dar unakutana na Chalama naye mchambaji hawa nasikia wanakaa sana na samuya anawafundisha namna ya kuchamba watu.

Ambao wame master ni Mwigulu, Chalamila na wengine wengine tutaweka clips zao huko mbeleni. Serikali ya Wachambaji. Akiwemo mkongwe kikwete mshauri mkuu.

Nikimtizama Nchimbi naona anatia doa hii sehemu haimfai. Anaongea kwa utaratibu sana na utulivu. Hafoki hatukani watu.
 
Screenshot_20251222-120716~2.png
 
Ukikoswa koswa kuchambwa na samia unaangukia kwa mwigulu. Huyu anachamba balaa kama dada yake tu. Naona anayetia Doa ni Nchimbi huyu naona anaongea kwa utulivu mkubwa sana

Samia ni kiboko kwa kuchamba anakuchamba mpaka unakufa. Ukija Dar unakutana na Chalama naye mchambaji hawa nasikia wanakaa sana na samuya anawafundisha namna ya kuchamba watu.

Ambao wame master ni Mwigulu, Chalamila na wengine wengine tutaweka clips zao huko mbeleni. Serikali ya Wachambaji. Akiwemo mkongwe kikwete mshauri mkuu.

Nikimtizama Nchimbi naona anatia doa hii sehemu haimfai. Anaongea kwa utaratibu sana na utulivu. Hafoki hatukani watu.
Usikute wako kwenye mikakati ya kumtoa roho huyu Nchimbi ajiaangalie sana
 
Ukikoswa koswa kuchambwa na samia unaangukia kwa mwigulu. Huyu anachamba balaa kama dada yake tu. Naona anayetia Doa ni Nchimbi huyu naona anaongea kwa utulivu mkubwa sana

Samia ni kiboko kwa kuchamba anakuchamba mpaka unakufa. Ukija Dar unakutana na Chalama naye mchambaji hawa nasikia wanakaa sana na samuya anawafundisha namna ya kuchamba watu.

Ambao wame master ni Mwigulu, Chalamila na wengine wengine tutaweka clips zao huko mbeleni. Serikali ya Wachambaji. Akiwemo mkongwe kikwete mshauri mkuu.

Nikimtizama Nchimbi naona anatia doa hii sehemu haimfai. Anaongea kwa utaratibu sana na utulivu. Hafoki hatukani watu.
Viongozi wasio na akili hao huwezi wafananisha na mchimbi aliye kuzwa kisiasa
 
Ukikoswa koswa kuchambwa na samia unaangukia kwa mwigulu. Huyu anachamba balaa kama dada yake tu. Naona anayetia Doa ni Nchimbi huyu naona anaongea kwa utulivu mkubwa sana

Samia ni kiboko kwa kuchamba anakuchamba mpaka unakufa. Ukija Dar unakutana na Chalama naye mchambaji hawa nasikia wanakaa sana na samuya anawafundisha namna ya kuchamba watu.

Ambao wame master ni Mwigulu, Chalamila na wengine wengine tutaweka clips zao huko mbeleni. Serikali ya Wachambaji. Akiwemo mkongwe kikwete mshauri mkuu.

Nikimtizama Nchimbi naona anatia doa hii sehemu haimfai. Anaongea kwa utaratibu sana na utulivu. Hafoki hatukani watu.
Nchimbi anapenda kujipakapaka na wengine hasa hao RC kama hataki kuwa sehemu ya serikali hii si anajiuzulu tuu maisha mengine yaendelee?

Anahangaika sana kufurahisha makundi badala ya kujenga identity yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom